Lebo

27/11/2014

Ina aminika kuwa binadamu walitokana na mabadiliko ya viumbe fulani hii ni kwa mujibu wa sayansi na elimu zingine zinazotokana na uchunguzi wa kibinadamu madai haya si ya kweli hata kidogo na hakika yana pingana na elimu ya mafundisho katika vitabu VITAKATIFU

HAPO MWANZO

Hapo mwanzo  ulimwengu huu ulikuwa ukiwa na roho ya MUNGU ilikuwa juu  ya vilindi vya maji ndipo BWANA akaamua kuufanya upya ulimwengu huu katika kazi yake aliyofanya  ulimwengu huu uliwekwa  katika madhari  nzuri na hali ya kupendeza sana katika kazi yake ya juma zima aliweza kufanya viumbe watakaoishi katika ulimwengu huu wenye madhari nzuri ya yakipee  ebu twende pamoja tuone ni mambo gani na hali gani iliyoleta maaafa hapo baadae

Ujumbe wetu kwa ULIMWENGU!!!!