Kwamwe WAADVENTISTA hata wakuja kuisahau idara ya watoto na kwetu watoto wana nafasi kubwa sana maana wao wakulelewa na kupewa maadili MEMA wanaweza kuwa changu ya maendeleo na mafanikio ya JAMII yoyote katika ulimwengu huu tazama hapa ni watoto kutoka katika shule inayofundisha na kuzingatia MISINGI ya elimu ya KISABATO toka HERITAGE
Basi mtiini Mungu.Mpingeni Shetani,naye atawakimbia Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi.Itakaseni mikono yenu, enyi wenye dhambi,na kuishafisha mioyo yenu,enyi wenye nia mbili{Yakobo 4:7-8} Submit yourselves then, to God, Resist the devil,and he will flee from you.come near to God and he will. come near you.wash your hands you sinners and purify your hearts you double minded.{James 4:7-8}NIV
07/02/2015
MIKUTANO MIKUBWA YA UTUME ILIYOKUWA IKIFANYIKA KATIKA UWANJA WA TAIFA IMEFIKIA TAMATI JANA.
Kwamwe WAADVENTISTA hata wakuja kuisahau idara ya watoto na kwetu watoto wana nafasi kubwa sana maana wao wakulelewa na kupewa maadili MEMA wanaweza kuwa changu ya maendeleo na mafanikio ya JAMII yoyote katika ulimwengu huu tazama hapa ni watoto kutoka katika shule inayofundisha na kuzingatia MISINGI ya elimu ya KISABATO toka HERITAGE
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)