VIUMBE vyote vya ulimwengu, na jinsi Mungu alivyojidhihirisha, vyote
huonyesha upendo wa Mungu. Baba yetu aliye mbinguni ndiye asili ya uhai, hekima, na
furaha. Vitazame viumbe vyote jinsi vilivyo vizuri na vya ajabu. Fikiri jinsi vifaavyo
kwa mahitaji na furaha, siyo ya wanadamu tu, bali ya viumbe vyote vilivyo hai.
Jua na mvua, huifurahisha na kuiburudisha nchi, pamoja na vilima, bahari na mabonde, vyote
hutuonyesha upendo wa Muumbaji wetu. Mungu ndiye anayevipatia viumbe vyake
vyote mahitaji yao ya kila siku. Katika maneno mazuri ya Mtunga Zaburi twasoma haya,
“Macho ya watu wote yakuelekea Wewe;
Nawe huwapa chakula chao kwa wakati wake.
Waufumbua mkono wako,Wakishibisha kilicho hai matakwa yake.
”Zaburi 145:15,16.
Mungu alimwumba mwanadamu katika hali ya furaha na utakatifu kamili; na
wakati nchi ilipotoka mkononi mwa Muumba, ilikuwa nzuri kabisa; haikuwa na dalili ya
uharibifu wala laana ya Mungu. Taabu na mauti viliingia kwa sababu ya kuivunja sheria
ya Mungu sheria ya upendo. Lakini, hata katikati ya maumivu yatokanayo na dhambi,
upendo wa Mungu umedhihirishwa. Imeandikwa ya kwamba Mungu aliilaani ardhi kwa
ajili ya mwanadamu. Mwanzo 3:17.
Miti yenye miiba na magugu - yaani, shida na majaribu yanayoyafanya maisha yake kuwa ya taabu na wasiwasi - yaliwekwa kwa manufaa yake, ili yawe sehemu mojawapo ya mafundisho yake yanayotakiwa katika mpango wa Mungu, ili apate kumtoa katika hali mbaya ya dhambi na kumrudisha katika hali njema aliyokuwa nayo mara ya kwanza.
Basi mtiini Mungu.Mpingeni Shetani,naye atawakimbia Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi.Itakaseni mikono yenu, enyi wenye dhambi,na kuishafisha mioyo yenu,enyi wenye nia mbili{Yakobo 4:7-8} Submit yourselves then, to God, Resist the devil,and he will flee from you.come near to God and he will. come near you.wash your hands you sinners and purify your hearts you double minded.{James 4:7-8}NIV
30/06/2015
17/06/2015
Did you know the God’s Purpose for the Youth?????
In order that the work may go forward in all its branches, God calls for youthful vigor, zeal, and courage. He has chosen the youth to aid in the advancement of His cause. To plan with clear mind and execute with courageous hand demands fresh, uncrippled energies. Young men and women are invited to give God the strength of their youth, that through the exercise of their powers, through keen
thought and vigorous action, they may bring glory to Him and salvation to their fellow-men. (Gospel Workers, 67.)
01/06/2015
God's Purpose for His Church ( lesson -6 )
Wonderful is the work which the Lord designs to accomplish through His church, that His name may be glorified. A picture of this work is given in Ezekiel's vision of the river of healing: "These waters issue out toward the east country, and go down into the desert, and go into the sea: which being brought forth into the sea, the waters shall be healed. And it shall come to pass, that everything that liveth, which moveth, whithersoever the rivers shall come, shall live: and by the river upon the bank thereof, on this side and on that side, shall grow all trees for meat, whose leaf shall not fade, neither shall the fruit thereof be consumed: it shall bring forth new fruit according to his months, because their waters they issued out of the sanctuary: and the fruit thereof shall be for meat, and the leaf thereof for medicine." Ezekiel 47:8-12.
From the beginning God has wrought through His people to bring blessing to the world. To the ancient Egyptian nation God made Joseph a fountain of life. Through the integrity of Joseph the life of that whole people was preserved. Through Daniel God saved the life of all the wise men of Babylon. And these deliverances are as object lessons; they illustrate the spiritual blessings offered to the world through connection with the God whom Joseph and Daniel worshiped. Everyone in whose heart Christ abides, everyone who will show forth His love to the world, is a worker together with God for the blessing of humanity. As he receives from the Saviour grace to impart to others, from his whole being flows forth the tide of spiritual life.
From the beginning God has wrought through His people to bring blessing to the world. To the ancient Egyptian nation God made Joseph a fountain of life. Through the integrity of Joseph the life of that whole people was preserved. Through Daniel God saved the life of all the wise men of Babylon. And these deliverances are as object lessons; they illustrate the spiritual blessings offered to the world through connection with the God whom Joseph and Daniel worshiped. Everyone in whose heart Christ abides, everyone who will show forth His love to the world, is a worker together with God for the blessing of humanity. As he receives from the Saviour grace to impart to others, from his whole being flows forth the tide of spiritual life.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)