Lebo

10/02/2015

Dr Ted Wilson AWASILI JUBA,SUDAN YA KUSINI AKITOKEA NCHINI TANZANIA.



Kiongozi wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato Duniani Dr Ted Wilson amewasili Juba,Sudan ya Kusini akitokea nchini Tanzania baada ya kushiriki kwenye sherehe za utume wa kanisa hilo(Mission Extravaganza) zilizofanyika kwa juma zima toka februari mosi mwaka huu na kuhitimishwa kwenye uwanja wa Taifa kuanzia Februari 4 hadi 7,mwaka huu.
 Ted akiwa nchini Tanzania aliongoza ibada ya siku ya Sabato ambapo alihutubia waumini wa kanisa hilo wapatao 50,000 wanaounda Divisheni ya Afrika Mashariki na Kati yenye nchi 11,huku ukihudhuriwa na Makamu wa Rais Dr Mohamed Gharib Bilal ambaye alizindua mkutano huo akiwataka waumini hao kuombea taifa la Tanzania kudumisha amani,upendo na mshikamano.






 Mkutano huo ambao pia ulihudhuriwa na viongozi wandamizi wa Kanisa la Waadventista Wa Sabato toka yalipo makao makuu yake huko Washngton DC,Marekani ulishuhudia Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernad Membe akiufunga kwa kulipongeza na kulitaka kanisa hilo kutojiingiza katika migogoro ya aina yoyote. Ted Wilson akiwa ameambatana na viongozi wengine wa Divisheni ya Afrika Mashariki na Kati aliwasili Juba na kupokelewa na viongozi mbalimbali wa kanisa hilo nchini humo ikiwa ni mara ya kwanza kwa kiongozi huyo kutembelea nchini hiyo toka ilipojitenga na Sudani julai 9,2011.

08/02/2015

The First of Sciences


A knowledge of true science is power, and it is the purpose of God that this knowledge shall
be taught in our schools as a preparation for the work that is to precede the closing scenes of this
earth's history. The truth is to be carried to the remotest bounds of earth, through agents trained
for the work.


But while the knowledge of science is power, the knowledge that Jesus came in person to
impart is still greater power. The science of salvation is the most important science to be learned
in the preparatory school of earth. The wisdom of Solomon is desirable, but the wisdom of Christ
is far more desirable and more essential.

We cannot reach Christ through a mere intellectual
training; but through Him we can reach the highest round of the ladder of intellectual greatness.
While the pursuit of knowledge in art, in literature, and in trades should not be discouraged, the
student should first secure an experimental knowledge of God and His will.



The opportunity of learning the science of salvation is placed within the reach of all. By
abiding in Christ, by doing His will, by exercising simple faith in His word, even those unlearned
in the wisdom of the world may have this knowledge. To the humble, trusting soul the Lord
reveals that all true knowledge leads heavenward.

Ellen.G.White Counsels to Parents, Teachers, and Students chap2,pg20

07/02/2015

MIKUTANO MIKUBWA YA UTUME ILIYOKUWA IKIFANYIKA KATIKA UWANJA WA TAIFA IMEFIKIA TAMATI JANA.

Ni kweli na ajabu ya aina yake MUNGU aliweza kuifanikisha mikutano hii nayo iliweza kumalizika SALAMA kwa maana kwa upendo wa ajabu alileta WINGU ambalo liliweza kuzuia JUA na JOTO kali lisiweze kuumiza watu wake na kufanya hali ya hewa kuwa SHWARI na MIBARAKA iliwafikia WOTE kama alivyokusudia na katika mikutano hii WATU WALIOBATIZWA walikuwa ELFU MBILI MIANNE NA TISA (2409) jina la BWANA lipewe SIFA.

 kwa kadiri jinsi  muda  ulivyozidi  kuwa  unasonga  mbele  idadi  ya  watu  waliokuja  kufata  mibaraka  toka  kwa MUUMBAJI  wao   alikuwa ikiongeza  maradufu
Kwamwe  WAADVENTISTA  hata  wakuja  kuisahau  idara  ya  watoto  na  kwetu  watoto  wana  nafasi  kubwa  sana  maana  wao wakulelewa na  kupewa  maadili  MEMA  wanaweza  kuwa  changu  ya  maendeleo  na  mafanikio  ya   JAMII yoyote  katika  ulimwengu  huu  tazama  hapa ni  watoto  kutoka  katika  shule inayofundisha  na  kuzingatia  MISINGI  ya  elimu ya  KISABATO toka  HERITAGE
Na  hawa  ni  watoto  walio  katika  chama  cha  watafta  njia  chama   hiki  kina  wanafundisha  mambo  mengi  sana kama  afya ya miili yao,masomo  ya wanyama, bila kusahau elimu ya  BIBLIA na  kuwafanya  wawe na elimu  bora  na  nidhamu  tele

03/02/2015

God Desires to Bestow the Gift of the Holy Spirit

When a special effort is put forth by laborers of experience in a community where our own people live, there rests upon the believers in that field a most solemn obligation to do all in their power to open the way for the Lord to work. They should search their hearts prayerfully, and clear the King's highway by putting away every sin that would hinder them from co-operating with God and with their brethren

In visions of the night, representations passed before me of a great reformatory movement among God's people. Many were praising God.

The sick were healed, and other miracles were wrought. A spirit of intercession was seen, even as was manifested before the great Day of Pentecost. Hundreds and thousands were seen visiting families and opening before them the word of God. Hearts were convicted by the power of the Holy Spirit, and a spirit of genuine conversion was manifest. On every side doors were thrown open to the proclamation of the truth.

The world seemed to be lightened with the heavenly influence. Great blessings were received by the true and humble people of God. I heard voices of thanksgiving and praise, and there seemed to be a reformation such as we witnessed in 1844.

God desires to refresh His people by the gift of the Holy Spirit, baptizing them anew in His love. There is no need for a dearth of the Spirit in the church. After Christ's ascension the Holy Spirit came upon the waiting, praying, believing disciples with a fullness and power that reached every heart. In the future the earth is to be lightened with the glory of God.

 A holy influence is to go forth to the world from those who are sanctified through the truth. The earth is to be encircled with an atmosphere of grace. The Holy Spirit is to work on human hearts, taking the things of God and showing them to men.

The Lord is willing to do a great work for all who truly believe in Him. If the lay members of the church will arouse to do the work that they can do, going on a warfare at their own charges, each seeing how much he can accomplish in winning souls to Jesus, we shall see many leaving the ranks of Satan to stand under the banner of Christ.

If our people will act upon the light that is given in these few words of instruction, we shall surely see of the salvation of God. Wonderful revivals will follow. Sinners will be converted, and many souls will be added to the church. When we bring our hearts into unity with Christ, and our lives into harmony with His work, the Spirit that fell on the disciples on the Day of Pentecost will fall on us.

02/02/2015

SIRI YA MTINDO WA MAISHA ULETAO AFYA


Watafiti wanaoishi katika kipindi hiki tulicho nacho wamejitahidi sana kuithibitisha ile kweli iliyothibitishwa kwanza na Biblia kwa kutoa maelezo haya:

Wanadamu ni viumbe kamili Mara nyingi kile tunachokigawa katika sehemu za kimwili, kiakili, na kiroho ni sehemu za mtu zilizo na uwiano unaoingiliana, wala hazitenganishiki kwa maneno mengine, kinachoidhuru akili, kinaudhuru mwili.

Hali yetu ya kiroho ina shinikizo lake juu ya hali yetu ya kimwili, na kinyume chake. Sisi ni watu kamili.

Kwa mfano watafiti wa kisayansi katika uchunguzi wao uliodhibitiwa wamegundua kwamba kicheko kile kitokanacho na furaha na shangwe huleta mabadiliko yanayoweza kupimwa katika mfumo wa kinga mwilini mwa mtu unaweza kabisa kuusaidia mwili wako kupigana na ugonjwa kwa vizuri zaidi ukiwa na furaha uchunguzi huo huonyesha jinsi akili na mwili vinavyofanya kazi yao kwa pamoja kwa ushirikiano wa karibu sana.

Katika maelfu ya miaka iliyopita Neno la Mungu lilidokeza kuwapo kwa uhusiano huo wenye nguvu kati ya akili na mwili ambao ni hivi karibuni tu umekubaliwa na kuingizwa katika nadharia ya kiganga:
"Moyo uliochangamka ni dawa nzuri, bali roho iliyopondeka huikausha mifupa" - (Mithali 17:22)

29/01/2015

The Essential Knowledge


Higher education is an experimental knowledge of the plan of salvation, and this knowledge is
secured by earnest and diligent study of the Scriptures. Such an education will renew the mind
and transform the character, restoring the image of God in the soul It will fortify the mind against the deceptive whisperings of the adversary, and enable us to understand the voice of God.

It will teach the learner to become a co-worker with Jesus Christ, to dispel the moral darkness
about him, and bring light and knowledge to men. It is the simplicity of true godliness-- our
passport from the preparatory school of earth to the higher school above.





There is no education to be gained higher than that given to the early disciples, and which is
revealed to us through the word of God. To gain the higher education means to follow this word
implicitly; it means to walk in the footsteps of Christ, to practice His virtues. It means to give up
selfishness and to devote the life to the service of God. Higher education calls for something
greater, something more divine, than the knowledge to be obtained merely from books. It means
a personal,

experimental knowledge of Christ; it means emancipation from ideas, from habits and practices,
that have been gained in the school of the prince of darkness, and which are opposed to loyalty to
God. It means to overcome stubbornness, pride, selfishness, worldly ambition, and unbelief. It is
the message of deliverance from sin.

Ellen.G.White Counsels to Parents, Teachers, and Students (1913), page 12

27/01/2015

God's Efforts to Arouse the People


While at Loma Linda, Calif., April 16, 1906, there passed before me a most wonderful
representation. During a vision of the night, I stood on an eminence, from which I could
see houses shaken like a reed in the wind. Buildings, great and small, were falling to the
ground. Pleasure resorts, theaters, hotels, and the homes of the wealthy were shaken and
shattered. Many lives were blotted out of existence, and the air was filled with the shrieks
of the injured and the terrified.{CL 8.6}


The destroying angels of God were at work. One touch, and buildings so thoroughly
constructed that men regarded them as secure against every danger, quickly became
heaps of rubbish. There was no assurance of safety in any place. I did not feel in any
special peril, but the awfulness of the scenes that passed before me I cannot find words to
describe. It seemed that the forbearance of God was exhausted, and that the judgment day
had come. {CL 9.1}

The angel that stood at my side then instructed me that but few have any conception of
the wickedness existing in our world today, and especially the wickedness in the large
cities. He declared that the Lord has appointed a time when He will visit transgressors in
wrath for persistent disregard of His law. {CL 9.2}






Terrible as was the representation that passed before me, that which impressed itself
most vividly upon my mind was the instruction given in connection with it. The angel
that stood by my side declared that God's supreme rulership, and the sacredness of His
law, must be revealed to those who persistently refuse to render obedience to the King of
kings. Those who choose to remain disloyal, must be visited in mercy with judgments, in
order that, if possible, they may be aroused to a realization of the sinfulness of their
course.-- Testimonies, vol. 9, pp. 92, 93. (1909) {CL 9.3}