Huduma ya malaika watakatifu, kama ilivyoelezwa katika Maandiko, ni ukweli wenye
faraja kuu na wa thamani kwa kila mfuasi wa Kristo.Walakini fundisho la Biblia juu ya jambo hili limetiwa giza na kupotoshwa kwa njia ya makosa yanayotokana na theolojia inayopendwa sana na watu wengi.
wale waliokufa "watumikao, wakitumwa kuwahudumu wale watakaourithi wokovu."
Walakini [imani] hiyo ni kinyume na ushuhuda wa Maandiko yanayohusu kuwako kwa
malaika mbinguni, na uhusiano wao na historia ya mwanadamu, kabla ya [kutokea] kifo
cha mwanadamu ye yote.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
Tuandikie maoni yako hapa. Leave your comments here