Lebo

24/09/2016

KUKUA KATIKA KRISTO

SOMO LA TATU.





Kama mtu anajifikiria nafsi yake tu, roho yake hugeuka na kutoka kwa Kristo ambaye ni uwezo na uzima wake. Kwa hiyo ni juhudi ya Shetani ya kudumu kuyageuzia mbali na Mwokozi mawazo ya mtu, kwa njia hiyo kumzuia kuungana na kushirikiana na Kristo. Anasa za dunia, masumbufu ya maisha haya na mashaka na huzuni, makosa ya wengine, au makosa na upungufu wako mwenyewe - kwa mojawapo au yote hayo Shetani atayaelekeza mawazo ili kuyapotosha (Tazama Mathayo 14:30). Usidanganywe na hila zake. Wengi wanaotaka kufanya yapasayo na kujitoa maisha yao kwa Mungu,
mara nyingi huvutwa na Shetani kufikiri sana juu ya makosa yao na udhaifu wao wenyewe, na hivyo kwa kuwatenga mbali na Kristo anatumainia kuwashinda.
Tusifikirie nafsi zetu sana, na kuhangaika na kuogopa iwapo kweli tutaokolewa. Mambo hayo yote
huugeuzia mbali moyo kutoka kwa Kristo aliye Asili ya nguvu zetu. Weka roho yako mkononi mwa Mungu kama amana, na umtumainie yeye. Mazungumzo yako na fikara zako ziwe juu ya Yesu. Nafsi yako na ifichwe ndani yake. Tupilia mbali mashaka yako yote; ziondolee mbali hofu zako. Sema kama alivyosema mtume Paulo:“Nimesulibiwa pamoja na Kristo; lakini ni hai; wala si mimi tena, bali Kristo yu hai ndani yangu; na uhai nilio nao sasa katika mwili, ninao katika imani ya Mwana wa Mungu, ambaye alinipenda akajitoa nafsi yake kwa ajili yangu. Gal. 2:20. Tulia ndani ya Mungu. Yeye aweza kukilinda kile ulichokiweka amana kwake. Kama unajiweka mkononi mwake,
atakuwezesha upate kushinda, na zaidi ya kushinda, kwa yeye aliyekupenda. Soma Warumi 8:37.
Kristo alipoutwaa mwili wa kibinadamu, aliwafungia kwake wanadamu kwa

kifungo cha upendo wake kisichoweza kuvunjwa na uwezo wo wote, isipokuwa kwa chaguo la mwanadamu huyo mwenyewe. Shetani atajitahidi daima kutuletea vishawishi vyake ili kukivunjilia mbali kifungo hicho - yaani, kutufanya tuchague wenyewe kujitenga mbali na Kristo. Hapo ndipo tunapohitaji kuwa macho, kujitahidi, na kuomba ili tusishawishiwe na jambo lo lote kuchagua kutawaliwa na bwana mwingine; kwa maana sikuzote sisi tunao uhuru kufanya hivyo. Lakini hebu na tumkazie Kristo macho yetu, naye atatulinda. Tukimtazama Yesu, tutakuwa salama. Hakuna awezaye
kutupokonya katika mkono wake. Tukimwangalia Yesu daima, “tunabadilishwa tufanane na mfano uo huo, toka utukufu hata utukufu, kama vile kwa utukufu utokao kwa Bwana aliye Roho.” 2 Kor. 3:18.Hivyo ndivyo wanafunzi wake wa zamani walivyopata kufanana na Mwokozi wao waliyempenda. Wanafunzi wale walipoyasikia maneno ya Yesu, walijisikia kuwa wanamhitaji. Walimtafuta, wakamwona, na kumfuata. Walikuwa pamoja naye nyumbani, mezani, chumbani, na mashambani. Walikuwa pamoja naye kama wanafunzi wa shule wanavyokuwa pamoja na mwalimu wao, wakipokea kila siku mafundisho ya ile kweli takatifu kutoka kinywani mwake. Walimtegemea kama watumishi wanavyomtegemea bwana wao, ili wapate kujua wajibu wao.

Wanafunzi wale walikuwa ni wanadamu wenye “tabia moja na sisi.” Yak. 5:17. Walikuwa na pambano lile lile dhidi ya dhambi kama sisi. Waliihitaji neema ile ile ili wapate kuishi maisha matakatifu. Hata na Yohana, mwanafunzi mpendwa wa Yesu, aliyefanana naye kwa ukamilifu kuliko wale wengine, hakuzaliwa akiwa na tabia nzuri. Alikuwa si mtu aliyependa tu kuwa kimbelembele na kutaka heshima, bali alipoumizwa alikuwa mwenye harara na chuki moyoni mwake. Lakini tabia ya Yule Mtakatifu ilipofunuliwa kwake, aliona mapungufu yake mwenyewe, naye akanyenyekea kutokana na ujuzi ule alioupata. Aliona nguvu na uvumilivu, uwezo na huruma, utukufu na upole katika maisha ya kila siku ya yule Mwana wa Mungu, mambo hayo yaliujaza moyo wake na sifa na upendo. Siku kwa siku moyo wake ulizidi kuvutwa kwa Yesu Kristo. Mpaka akajisahau nafsi
yake mwenyewe kutokana na upendo aliokuwa nao kwa Bwana wake, tabia yake ya harara na kutaka makuu ikashindwa chini ya uwezo wa Kristo ubadilishao tabia.
Uwezo wa Roho Mtakatifu ufanyao tabia ya mtu kuwa mpya uliufanya moyo wake kuwa mpya. Nguvu ya upendo wake Kristo ilifanya badiliko kamili la tabia yake. Hayo ndiyo matokeo ya hakika kwa mtu ye yote anayeunganika na Yesu. Kristo akaapo moyoni, tabia yote hubadilika kabisa. Roho wake Kristo, upendo wake, huulainisha moyo, na kuitawala nafsi ya mtu, na kuyainua juu mawazo yake na tamaa zake kuelekea kwa Mungu na mambo ya mbinguni. Yesu alipopaa kwenda mbinguni, wafuasi wake bado walikuwa na hisia ya kuwapo kwake. Kulikuwa ni kuwapo kwake kimwili, akiwa amejaa upendo na nuru.
Yesu, Mwokozi, aliyekuwa ametembea na kuongea na kuomba pamoja nao, aliyekuwa amesema maneno yenye tumaini na faraja mioyoni mwao, wakati ujumbe huo wa amani
ulipokuwa bado unatoka kinywani mwake, alikuwa amechukuliwa kwenda juu mbinguni, na sauti hii ya maneno yake ilikuwa imekuja kwao tena, wakati lile wingu la malaika lilipompokea – “Tazama, mimi nipo pamoja nanyi sikuzote, hata ukamilifu wa dahari.” Mathayo 28:20. Alikuwa amepaa kwenda mbinguni akiwa na mwili wa kibinadamu. Walijua kwamba yuko mbele ya kiti cha enzi cha Mungu, akiwa bado ni Rafiki yao na Mwokozi wao; na kwamba huruma yake ilikuwa haijabadilika; na kwamba yeye bado alikuwa amejifungamanisha na wanadamu wanaoteseka. Alikuwa akionyesha mbele za Baba yake sifa za damu yake ya thamani, akimwonyesha mikono yake na miguu yake
iliyojeruhiwa, kukumbuka gharama aliyokuwa amelipa kwa ajili ya watu wake waliokombolewa. Walijua kwamba alikuwa amepaa kwenda mbinguni kuwaandalia mahali, na ya kwamba atakuja tena, na kuwachukua kwenda nao kwake. Walipokutana, baada ya kupaa kwake, walikuwa na hamu ya kupeleka maombi yao kwa Baba kwa jina la Yesu. Kwa kicho kikuu waliinamisha vichwa vyao chini
walipoomba, wakarudia kusema ahadi yake hii, “Mkimwomba Baba neno lo lote atawapa
kwa jina langu. Hata sasa hamkuomba neno kwa jina langu, ombeni, nanyi mtapata; furaha yenu iwe timilifu.” Yoh. 16:23,24. Waliunyosha mkono wao wa imani juu zaidi na juu zaidi, wakiwa na hoja hii yenye nguvu, “Kristo ndiye aliyekufa; naam, na zaidi yahayo, amefufuka katika wafu, naye yuko mkono wa kuume wa Mungu; tena ndiye anayetuombea.” Warumi 8:34. Na siku ya Pentekoste wakapata kujazwa Roho Mtakatifu, yule Mfariji ambaye Kristo alisema juu yake, “Naye atakuwa ndani yenu.” Naye alikuwa ameongeza kusema, “Yawafaa ninyi mimi niondoke; kwa maana mimi
nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda zangu, nitampeleka kwenu.” Yoh. 14:17; 16:7. Tangu siku hiyo, kwa njia ya Roho Mtakatifu, Kristo hukaa mioyoni mwa watu wake sikuzote. Muungano wao pamoja naye ulikuwa wa karibu sana kuliko wakati alipokuwa pamoja nao kimwili. Nuru, na upendo, na uweza wa Kristo akaaye ndani yao uliangaza nje kupitia kwao, hata watu walipowatazama “wakastaajabu, wakatambua ya kwamba walikuwa pamoja na Yesu.” Matendo 4:13.

23/09/2016

KUKUA KATIKA KRISTO

SOMO LA PILI.


Yesu hufundisha jambo lile lile asemapo, “Kaeni ndani yangu, nami ndani yenu Kama vile tawi lisivyoweza kuzaa peke yake, lisipokaa ndani ya mzabibu, kadhalika nanyi, msipokaa ndani yangu…. Maana pasipo mimi ninyi hamwezi kufanya neno lolote.” Yoh. 15:4,5.
Wewe unamtegemea Kristo ili kuishi maisha matakatifu sawasawa na tawi linavyofungamana na mti wenyewe ili lipate kukua na kuzaa matunda. Pasipo yeye huna uzima. Huna nguvu ya kuyapinga majaribu au ya kukuwezesha kukua katika neema na utakatifu. Ukikaa ndani yake, waweza kusitawi. Ukipata uzima kutoka kwake huwezi kunyauka wala kukosa kuzaa matunda. Utakuwa kama mti uliopandwa kando ya mito yenye maji.

Wengi hudhani kwamba ni wajibu wao kufanya sehemu ya kazi ile wenyewe wamemtumainia Kristo kwa msamaha wa dhambi zao, lakini sasa wanaona ya kwamba kwa juhudi zao wenyewe wanaweza kuishi maisha yaliyo safi. Lakini kila juhudi ya aina hiyo ni lazima ishindwe. Yesu asema, “Pasipo mimi ninyi hamwezi kufanya neno lolote.” Kukua kwetu katika neema, furaha yetu, kuwa na manufaa kwetu kwa wengine  mambo hayo yote hutegemea muungano wetu na Kristo. Ni kwa njia ya kuongea naye, kila siku, kila saa tunapaswa kukua katika neema.
Yeye siye tu mwenye kuianzisha imani yetu, bali ndiye mwenye kuitimiza. Kristo ndiye wa kwanza na wa mwisho na wa sikuzote. Anakuwa pamoja nasi, si mwanzo tu na mwisho wa njia yetu, bali katika kila hatua tunayotembea katika njia hiyo. Daudi asema, “Nimemweka Bwana mbele yangu
daima, kwa kuwa yuko kuumeni kwangu, sitaondoshwa.” Zaburi 16:8. Pengine unauliza, “Nawezaje kukaa ndani ya Kristo?” Kama ulivyompokea moyoni mara ya kwanza. “Kama mlivyompokea Kristo Yesu, Bwana, enendeni vivyo hivyo katika yeye.” “Mwenye haki ataishi kwa imani.” Kol. 2:6; Ebr. 10:38. Ulijitoa kwa Mungu kuwa mtu wake kabisa, kumtumikia na kumtii, tena ulimpokea Kristo kama Mwokozi wako.

Wewe mwenyewe hukuweza kujiondolea dhambi zako, wala kuugeuza moyo wako; lakini ulipokuwa umejitoa kuwa wa Mungu, ndipo uliposadiki kwamba Mungu ndiye aliyekutendea haya yote kwa ajili ya Kristo. Kwa njia ya imani ulikuwa wake Kristo; na kwa imani hiyo utazidi kukua ndani yake - kwa kujitoa na kumpokea. Yakupasa kutoa vyote kwake - moyo wako, nia yako, na utumishi wako - jitoe kwake ili upate kuyatii matakwa yake yote; tena yakupasa kupokea vyote – Kristo, utimilifu wa
baraka zote, ili akae moyoni mwako, awe nguvu zako, haki yako, na msaidizi wako
daima - ili akupe nguvu za kukuwezesha kumtii.
Jitoe kwake Mungu kila asubuhi, kabla hujafanya kitu cho chote. Omba hivi: “Bwana wangu, unichukue, niwe wako kamili. Mipango yangu yote naiweka miguuni pako. Unitumie leo katika kazi yako. Ukae nami, ili kazi yangu yote itendeke katika wewe.” Hili ndilo jambo lipaswalo kufanywa kila siku. Kila asubuhi ujitoe kuwa wa Mungu kwa siku ile. Weka mipango yako yote mbele yake, ili kuifanya au kutoifanya kama atakavyokuonyesha. Hivyo ndivyo siku kwa siku waweza kuendelea kuyakabidhi maisha yako mkononi mwa Mungu, na maisha yako yatafanana zaidi na zaidi na maisha
yake Kristo.

Maisha ndani ya Kristo ni maisha ya raha mustarehe. Huenda pasiwepo na hisia ya furaha kuu moyoni mwako, lakini patakuwa na matumaini yenye utulivu unaodumu. Matumaini yako hayamo ndani yako mwenyewe; yamo ndani ya Kristo. Udhaifu wako unaunganishwa na nguvu zake, kutojua kwako huunganishwa na hekima yake, unyonge wako unaunganishwa na uwezo wake udumuo daima. Hivyo haifai kuiangalia nafsi yako mwenyewe, kuyaacha mawazo yako kuwaza juu ya nafsi yako; bali mwangalie Kristo tu.
Fikiri sana juu ya upendo wake, juu ya uzuri na utimilifu wa tabia yake. Kristo alivyojinyima, Kristo alivyojidhili, Kristo alivyokuwa na maisha safi na matakatifu,Kristo katika upendo wake usio na kifani, hayo ndiyo mambo yafaayo kufikiriwa moyoni. Ni kwa njia ya kumpenda yeye, kumwiga matendo yake na tabia yake, kumtegemea kabisa, ndipo utaweza kugeuka kabisa na kufanana naye.
Yesu asema, “Kaeni ndani yangu.” Maneno haya yanatupa wazo la kukaa mustarehe na kuwa imara, na kuwa na matumaini. Asema tena, “Njoni kwangu,… nami nitawapumzisha.” Mathayo 11:28. Maneno haya ya Mtunga Zaburi yanaeleza wazo lilo hilo: “Ukae kimya mbele za Bwana, nawe umngojee kwa saburi.” Zab. 37:7. Naye Isaya anatuhakikishia hivi: “Nguvu zenu zitakuwa katika kutulia na kutumaini.” Isaya 30:15. Kustarehe huku hakupatikani kwa kukaa bure katika hali ya kutofanya kazi; maana katika mwaliko wa Mwokozi ahadi ya kupata raha imefungamana na wito wa kufanya kazi. “Jitieni nira yangu,… nanyi mtapata raha.” Mathayo 11:29. Yule anayemtegemea
Kristo kabisa atakuwa mtu mwenye moyo na juhudi nyingi kabisa katika kumtumikia
Mungu.

22/09/2016

Kukua Katika Kristo

Somo la kwanza 


KULE kuongoka moyo ambako kunatufanya tupate kuwa watoto wa Mungu, kumenenwa katika Biblia kama ni kuzaliwa. Tena kumelinganishwa na kuota kwa mbegu njema zilizopandwa na mkulima. Vivyo hivyo wale ambao wameongoka moyo na kuanza kumfuata Kristo ni kama “watoto wachanga,” (1 Petro 2:2), tena lazima wakue hata wawe kama watu wazima katika Kristo Yesu. Au kama mbegu njema zilizopandwa shambani zinavyokua, nao wanapaswa kukua na kutoa matunda mema ya kiroho.

Isaya asema hivi juu yao, “Wapate kuitwa miti ya haki, iliyopandwa na Bwana, ili atukuzwe.”
Isa. 61:3. Hivyo kutoka katika viumbe vya asili hutolewa vielelezo ili vipate kutusaidia sisi kuzielewa vizuri zaidi zile kweli za ajabu za maisha ya kiroho. Akili zote na ustadi wote wa mwanadamu haviwezi kamwe kukipa uhai kitu chochote kilicho kidogo sana katika maumbile.

Ni kwa uhai ule tu alioutoa Mungu mwenyewe mmea au mnyama anaweza kuishi. Hivyo ni kwa njia tu ya uhai utokao kwa Mungu maisha ya kiroho hupatikana ndani ya mioyo ya wanadamu. Mtu “asipozaliwa mara ya pili” hawezi kushiriki uzima ule ambao Kristo alikuja kutupa sisi. Yoh. 3:3,5.
Kama ilivyo katika kupata uzima, ndivyo ilivyo katika kuendelea kukua. Ni Mungu anayelifanya chipukizi lichanue na ua ligeuke na kuwa tunda. Ni kwa uwezo wake mbegu inakua, “kwanza jani, tena suke, kisha ngano pevu katika suke.” Marko 4:28.

Naye Hosea nabii anasema kuhusu Israeli ya kwamba “atachanua maua kama nyinyoro.” “Watafufuka kama ngano, na kuchanua maua kama mzabibu.” Hosea 14:5,7. Na Yesu anatuagiza anasema, “Yatafakarini maua jinsi yameavyo.” Luka 12:27. Mimea na maua havikui kwa kujitunza na kuhangaika na kujitahidi vyenyewe, bali kwa kuvipokea vile anavyotoa Mungu ili kuendesha uzima wao. Mtoto, kwa kuhangaika kwake au kwa nguvu zake mwenyewe, hawezi kuongeza urefu wake. Na wewe pia, kwa kuhangaika kwako na juhudi zako mwenyewe, huwezi kuendelea kukua katika mambo ya kiroho. Mmea au mtoto hukua katika mazingira yake kwa kupokea vile vinavyoweza kusaidia kuendesha uzima wake,hewa, mwanga wa jua, na chakula. Jinsi vitu hivyo
vya asili vinavyofaa kwa uhai wa mnyama na mmea, ndivyo Kristo alivyo kwa wale wanaomtumaini. Yeye kwao ndiye “nuru ya milele,” “ni jua na ngao.” Isa. 60:19; Zab. 84:11. Atakuwa “kama umande kwa Israeli.” “Atashuka kama mvua juu ya majani yaliyokatwa.” Hosea 14:5; Zab. 72:6. Yeye ndiye maji ya uzima, “mkate wa Mungu ushukao kutoka mbinguni na kuupa ulimwengu uzima.” Yoh. 4:14; 6:33,35.Katika ile zawadi ya Mwanawe isiyo na kifani, Mungu aliizungushia dunia yote hewa ya neema yake ambayo ni halisi kama hewa inayoizunguka dunia.

Wale wote wanaochagua kuvuta hewa hii iletayo uzima wataishi, na kukua hadi kufikia kimo cha
wanaume na wanawake katika Kristo Yesu. Kama ua linavyolielekea jua, ili mionzi inayong’aa iweze kusaidia katika kuukamilisha uzuri wake na umbile lake linganifu, ndivyo itupasavyo sisi kuligeukia Jua la Haki, ili nuru ya Mbinguni ipate kung’aa juu yetu, ili tabia yetu iweze kukua na
kufanana na ile ya Kristo.

02/07/2016

The Great Commission


After the death of Christ the disciples were well-nigh overcome by discouragement. Their Master had been rejected, condemned, and crucified. The priests and rulers had declared scornfully, “He saved others; Himself He cannot save. If He be the King of Israel, let Him now come down from the cross, and we will believe Him.” Matthew 27:42. The sun of the disciples’ hope had set, and night settled down upon their hearts. Often they repeated the words, “We trusted that it had been He which should have redeemed Israel.” Luke 24:21. Lonely and sick at heart, they remembered His words, “If they do these things in a green tree, what shall be done in the dry?” Luke 23:31. AA 25.1

Jesus had several times attempted to open the future to His disciples, but they had not cared to think about what He said. Because of this His death had come to them as a surprise; and afterward, as they reviewed the past and saw the result of their unbelief, they were filled with sorrow. When Christ was crucified, they did not believe that He would rise. He had stated plainly that He was to rise on the third day, but they were perplexed to know what He meant. This lack of comprehension left them at the time of His death in utter hopelessness. They were bitterly disappointed. Their faith did not penetrate beyond the shadow that Satan had cast athwart their horizon. All seemed vague and mysterious to them. If they had believed the Saviour’s words, how much sorrow they might have been spared! AA 25.2 Crushed by despondency, grief, and despair, the disciples met together in the upper chamber, and closed and fastened the doors, fearing that the fate of their beloved Teacher might be theirs. It was here that the Saviour, after His resurrection, appeared to them. AA 26.1

For forty days Christ remained on the earth, preparing the disciples for the work before them and explaining that which heretofore they had been unable to comprehend. He spoke of the prophecies concerning His advent, His rejection by the Jews, and His death, showing that every specification of these prophecies had been fulfilled. He told them that they were to regard this fulfillment of prophecy as an assurance of the power that would attend them in their future labors. “Then opened He their understanding,” we read, “that they might understand the Scriptures, and said unto them, Thus it is written, and thus it behooved Christ to suffer, and to rise from the dead the third day: and that repentance and remission of sins should be preached in His name among all nations, beginning at Jerusalem.” And He added, “Ye are witnesses of these things.” Luke 24:45-48. AA 26.2
During these days that Christ spent with His disciples, they gained a new experience. As they heard their beloved Master explaining the Scriptures in the light of all that had happened, their faith in Him was fully established. They reached the place where they could say, “I know whom I have believed.” 2 Timothy 1:12. They began to realize the nature and extent of their work, to see that they were to proclaim to the world the truths entrusted to them. The events of Christ’s life, His death and resurrection, the prophecies pointing to these events, the mysteries of the plan of salvation, the power of Jesus for the remission of sins—to all these things they had been witnesses, and they were to make them known to the world. They were to proclaim the gospel of peace and salvation through repentance and the power of the Saviour. AA 27.1

Before ascending to heaven, Christ gave His disciples their commission. He told them that they were to be the executors of the will in which He bequeathed to the world the treasures of eternal life. You have been witnesses of My life of sacrifice in behalf of the world, He said to them. You have seen My labors for Israel. And although My people would not come to Me that they might have life, although priests and rulers have done unto Me as they listed, although they have rejected Me, they shall have still another opportunity of accepting the Son of God. You have seen that all who come to Me confessing their sins, I freely receive. Him that cometh to Me I will in no wise cast out. To you, My disciples, I commit this message of mercy. It is to be given to both Jews and Gentiles—to Israel, first, and then to all nations, tongues, and peoples. All who believe are to be gathered into one church. AA 27.2
The gospel commission is the great missionary charter of Christ’s kingdom. The disciples were to work earnestly for souls, giving to all the invitation of mercy. They were not to wait for the people to come to them; they were to go to the people with their message. AA 28.1
The disciples were to carry their work forward in Christ’s name. Their every word and act was to fasten attention on His name, as possessing that vital power by which sinners may be saved. Their faith was to center in Him who is the source of mercy and power. In His name they were to present their petitions to the Father, and they would receive answer. They were to baptize in the name of the Father, the Son, and the Holy Spirit. Christ’s name was to be their watchword, their badge of distinction, their bond of union, the authority for their course of action, and the source of their success. Nothing was to be recognized in His kingdom that did not bear His name and superscription. AA 28.2

When Christ said to the disciples, Go forth in My name to gather into the church all who believe, He plainly set before them the necessity of maintaining simplicity. The less ostentation and show, the greater would be their influence for good. The disciples were to speak with the same simplicity with which Christ had spoken. They were to impress upon their hearers the lessons He had taught them. AA 28.3
Christ did not tell His disciples that their work would be easy. He showed them the vast confederacy of evil arrayed against them. They would have to fight “against principalities, against powers, against the rulers of the darkness of this world, against spiritual wickedness in high places.” Ephesians 6:12. But they would not be left to fight alone. He assured them that He would be with them; and that if they would go forth in faith, they should move under the shield of Omnipotence. He bade them be brave and strong; for One mightier than angels would be in their ranks—the General of the armies of heaven. He made full provision for the prosecution of their work and took upon Himself the responsibility of its success. So long as they obeyed His word, and worked in connection with Him, they could not fail. Go to all nations, He bade them. Go to the farthest part of the habitable globe and be assured that My presence will be with you even there. Labor in faith and confidence; for the time will never come when I will forsake you. I will be with you always, helping you to perform your duty, guiding, comforting, sanctifying, sustaining you, giving you success in speaking words that shall draw the attention of others to heaven. AA 29.1

Christ’s sacrifice in behalf of man was full and complete. The condition of the atonement had been fulfilled. The work for which He had come to this world had been accomplished. He had won the kingdom. He had wrested it from Satan and had become heir of all things. He was on His way to the throne of God, to be honored by the heavenly host. Clothed with boundless authority, He gave His disciples their commission, “Go ye therefore, and teach all nations, baptizing them in the name of the Father, and of the Son, and of the Holy Ghost: teaching them to observe all things whatsoever I have commanded you: and, lo, I am with you alway, even unto the end.” Matthew 28:19, 20. AA 29.2
Just before leaving His disciples, Christ once more plainly stated the nature of His kingdom. He recalled to their remembrance things He had previously told them regarding it. He declared that it was not His purpose to establish in this world a temporal kingdom. He was not appointed to reign as an earthly monarch on David’s throne. When the disciples asked Him, “Lord, wilt Thou at this time restore again the kingdom to Israel?” He answered, “It is not for you to know the times or the seasons, which the Father hath put in His own power.” Acts 1:6, 7. It was not necessary for them to see farther into the future than the revelations He had made enabled them to see. Their work was to proclaim the gospel message. AA 30.1

Christ’s visible presence was about to be withdrawn from the disciples, but a new endowment of power was to be theirs. The Holy Spirit was to be given them in its fullness, sealing them for their work. “Behold,” the Saviour said, “I send the promise of My Father upon you: but tarry ye in the city of Jerusalem, until ye be endued with power from on high.” Luke 24:49. “For John truly baptized with water; but ye shall be baptized with the Holy Ghost not many days hence.” “Ye shall receive power, after that the Holy Ghost is come upon you: and ye shall be witnesses unto Me both in Jerusalem, and in all Judea, and in Samaria, and unto the uttermost part of the earth.” Acts 1:5, 8. AA 30.2
The Saviour knew that no argument, however logical, would melt hard hearts or break through the crust of worldliness and selfishness. He knew that His disciples must receive the heavenly endowment; that the gospel would be effective only as it was proclaimed by hearts made warm and lips made eloquent by a living knowledge of Him who is the way, the truth, and the life. The work committed to the disciples would require great efficiency; for the tide of evil ran deep and strong against them. A vigilant, determined leader was in command of the forces of darkness, and the followers of Christ could battle for the right only through the help that God, by His Spirit, would give them. AA 31.1

Christ told His disciples that they were to begin their work at Jerusalem. That city had been the scene of His amazing sacrifice for the human race. There, clad in the garb of humanity, He had walked and talked with men, and few had discerned how near heaven came to earth. There He had been condemned and crucified. In Jerusalem were many who secretly believed Jesus of Nazareth to be the Messiah, and many who had been deceived by priests and rulers. To these the gospel must be proclaimed. They were to be called to repentance. The wonderful truth that through Christ alone could remission of sins be obtained, was to be made plain. And it was while all Jerusalem was stirred by the thrilling events of the past few weeks, that the preaching of the disciples would make the deepest impression. AA 31.2
During His ministry, Jesus had kept constantly before the disciples the fact that they were to be one with Him in His work for the recovery of the world from the slavery of sin. When He sent forth the Twelve and afterward the Seventy, to proclaim the kingdom of God, He was teaching them their duty to impart to others what He had made known to them. In all His work He was training them for individual labor, to be extended as their numbers increased, and eventually to reach to the uttermost parts of the earth. The last lesson He gave His followers was that they held in trust for the world the glad tidings of salvation. AA 32.1 When the time came for Christ to ascend to His Father, He led the disciples out as far as Bethany. Here He paused, and they gathered about Him. With hands outstretched in blessing, as if in assurance of His protecting care, He slowly ascended from among them. “It came to pass, while He blessed them, He was parted from them, and carried up into heaven.” Luke 24:51. AA 32.2

While the disciples were gazing upward to catch the last glimpse of their ascending Lord, He was received into the rejoicing ranks of heavenly angels. As these angels escorted Him to the courts above, they sang in triumph, “Sing unto God, ye kingdoms of the earth; O sing praises unto the Lord, to Him that rideth upon the heavens of heavens.... Ascribe ye strength unto God: His excellency is over Israel, and His strength is in the heavens.” Psalm 68:32-34, margin. AA 32.3 The disciples were still looking earnestly toward heaven when, “behold, two men stood by them in white apparel; which also said, Ye men of Galilee, why stand ye gazing up into heaven? this same Jesus, which is taken up from you into heaven, shall so come in like manner as ye have seen Him go into heaven.” Acts 1:10, 11. AA 33.1
The promise of Christ’s second coming was ever to be kept fresh in the minds of His disciples. The same Jesus whom they had seen ascending into heaven, would come again, to take to Himself those who here below give themselves to His service. The same voice that had said to them, “Lo, I am with you alway, even unto the end,” would bid them welcome to His presence in the heavenly kingdom. AA 33.2

As in the typical service the high priest laid aside his pontifical robes and officiated in the white linen dress of an ordinary priest; so Christ laid aside His royal robes and garbed Himself with humanity and offered sacrifice, Himself the priest, Himself the victim. As the high priest, after performing his service in the holy of holies, came forth to the waiting congregation in his pontifical robes; so Christ will come the second time, clothed in garments of whitest white, “so as no fuller on earth can white them.” Mark 9:3. He will come in His own glory, and in the glory of His Father, and all the angelic host will escort Him on His way. AA 33.3 Thus will be fulfilled Christ’s promise to His disciples, “I will come again, and receive you unto Myself.” John 14:3. Those who have loved Him and waited for Him, He will crown with glory and honor and immortality. The righteous dead will come forth from their graves, and those who are alive will be caught up with them to meet the Lord in the air. They will hear the voice of Jesus, sweeter than any music that ever fell on mortal ear, saying to them, Your warfare is accomplished. “Come, ye blessed of My Father, inherit the kingdom prepared for you from the foundation of the world.” Matthew 25:34. AA 34.1
Well might the disciples rejoice in the hope of their Lord’s return. AA 34.2

22/06/2016

Jesus’ Ministry Begins with a Party


And the third day there was a marriage in Cana of Galilee; and the mother of Jesus was there: And both Jesus was called, and his disciples, to the marriage. And when they wanted wine, the mother of Jesus saith unto him, They have no wine. Jesus saith unto her, Woman, what have I to do with thee? mine hour is not yet come. His mother saith unto the servants, Whatsoever he saith unto you, do it. And there were set there six waterpots of stone, after the manner of the purifying of the Jews, containing two or three firkins apiece. Jesus saith unto them, Fill the waterpots with water. And they filled them up to the brim. And he saith unto them, Draw out now, and bear unto the governor of the feast. And they bare it. When the ruler of the feast had tasted the water that was made wine, and knew not whence it was: (but the servants which drew the water knew;) the governor of the feast called the bridegroom, And saith unto him, Every man at the beginning doth set forth good wine; and when men have well drunk, then that which is worse: but thou hast kept the good wine until now. This beginning of miracles did Jesus in Cana of Galilee, and manifested forth his glory; and his disciples believed on him. John 2:1-11. CSA 10.1

Jesus did not begin His ministry by some great work before the Sanhedrin at Jerusalem. At a household gathering in a little Galilean village His power was put forth to add to the joy of a wedding feast. Thus He showed His sympathy with men, and His desire to minister to their happiness.... CSA 10.2

There was to be a marriage at Cana, a little town not far from Nazareth; the parties were relatives of Joseph and Mary; and Jesus, knowing of this family gathering, went to Cana, and with His disciples was invited to the feast.... CSA 10.3Again He met His mother, from whom He had for some time been separated. Mary had heard of the manifestation at the Jordan, at His baptism. The tidings had been carried to Nazareth, and had brought to her mind afresh the scenes that for so many years had been hidden in her heart. 16 CSA 10.4
From the day when she heard the angel’s announcement in the home at Nazareth Mary had treasured every evidence that Jesus was the Messiah. His sweet, unselfish life assured her that He could be no other than the Sent of God. Yet there came to her also doubts and disappointments, and she had longed for the time when His glory should be revealed. Death had separated her from Joseph, who had shared her knowledge of the mystery of the birth of Jesus. Now there was no one to whom she could confide her hopes and fears. The past two months had been very sorrowful.... CSA 10.5
At the marriage feast she meets Him, the same tender, dutiful son. Yet He is not the same. His countenance is changed. It bears the traces of His conflict in the wilderness, and a new expression of dignity and power gives evidence of His heavenly mission. With Him is a group of young men, whose eyes follow Him with reverence, and who call Him Master. These companions recount to Mary what they have seen and heard at the baptism and elsewhere. They conclude by declaring, “We have found Him, of whom Moses in the law, and the prophets, did write.” John 1:45. 17 CSA 10.6

As the guests assemble, many seem to be preoccupied with some topic of absorbing interest. A suppressed excitement pervades the company. Little groups converse together in eager but quiet tones, and wondering glances are turned upon the Son of Mary. As Mary had heard the disciples’ testimony in regard to Jesus, she had been gladdened with the assurance that her long cherished hopes were not in vain. Yet she would have been more than human if there had not mingled with this holy joy a trace of the fond mother’s natural pride. As she saw the many glances bent upon Jesus, she longed to have Him prove to the company that He was really the Honored of God. She hoped there might be opportunity for Him to work a miracle before them. CSA 10.7
It was the custom of the times for marriage festivities to continue several days. On this occasion, before the feast ended it was found that the supply of wine had failed. This discovery caused much perplexity and regret. It was unusual to dispense with wine on festive occasions, and its absence would seem to indicate a want of hospitality. As a relative of the parties, Mary had assisted in the arrangements for the feast, and she now spoke to Jesus, saying, “They have no wine.” These words were a suggestion that He might supply their need. But Jesus answered, “Woman, what have I to do with thee? Mine hour is not yet come.” 18 CSA 11.1
In saying to Mary that His hour had not yet come, Jesus was replying to her unspoken thought,—to the expectation she cherished in common with her people.... CSA 11.2
But though Mary had not a right conception of Christ’s mission, she trusted Him implicitly. To this faith Jesus responded. It was to honor Mary’s trust, and to strengthen the faith of His disciples, that the first miracle was performed. 19 CSA 11.3
Beside the doorway stood six large stone water jars, and Jesus bade the servants fill these with water. It was done. Then as the wine was wanted for immediate use, He said, “Draw out now, and bear unto the governor of the feast.” Instead of the water with which the vessels had been filled, there flowed forth wine. Neither the ruler of the feast nor the guests generally were aware that the supply of wine had failed. Upon tasting that which the servants brought, the ruler found it superior to any he had ever before drunk, and very different from that served at the beginning of the feast. Turning to the bridegroom, he said, “Every man at the beginning doth set forth good wine; and when men have well drunk, then that which is worse: but thou hast kept the good wine until now.” 20 CSA 11.4
As men set forth the best wine first, then afterward that which is worse, so does the world with its gifts.... But the gifts of Jesus are ever fresh and new. The feast that He provides for the soul never fails to give satisfaction and joy. Each new gift increases the capacity of the receiver to appreciate and enjoy the blessings of the Lord. He gives grace for grace. There can be no failure of supply.... CSA 11.5
The gift of Christ to the marriage feast was a symbol. The water represented baptism into His death; the wine, the shedding of His blood for the sins of the world.... CSA 11.6
At the first feast He attended with His disciples, Jesus gave them the cup that symbolized His work for their salvation. At the last supper He gave it again, in the institution of that sacred rite by which His death was to be shown forth “till He come.” 1 Corinthians 11:26

15/06/2016

Kumwamini Mungu na Kukubaliwa Naye 


WAKATI dhamiri yako inapokuwa imeamshwa na Roho Mtakatifu, unaona kwa kiasi fulani ubaya wa dhambi, uwezo wake, hatia yake, na jinsi iletavyo taabu, nawe unaiangalia na kuichukia kabisa.  Unaona kwamba dhambi imekutenga mbali na Mungu, kwamba wewe u mfungwa chini ya mamlaka ya dhambi.  Kadiri unavyokazana kuikwepa, ndivyo kadiri unavyotambua kwamba wewe huna nguvu kabisa.  Makusudi yako si safi;  moyo wako ni mchafu.  Unaona kwamba maisha yako yamejazwa na uchoyo na dhambi.  Unatamani sana kusamehewa, kuwekwa huru.  Kupatana na Mungu, na kufanana naye   -  je!  waweza kufanya nini ili uwe katika hali hiyo?Ni amani unayohitaji yaani, msamaha wa Mbingu na amani na upendo moyoni mwako.

Hali hii haiwezi kununuliwa kwa fedha, haipatikani kwa kutumia akili, hekima haiwezi kuipata;  kamwe huwezi kutumaini, kwa juhudi yako mwenyewe, kuipata. Lakini Mungu anakupa wewe kama zawadi, “bila fedha na bila thamani.”  Isa. 55:1, ni yako tu kama wewe utanyosha mkono wako na kuishikilia sana.  Bwana asema, “Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji;  zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu.”  Isaya 1:18. “Nami nitawapa ninyi moyo mpya, nami nitatia roho mpya ndani yenu.”  Eze. 36:26. Umekwisha kuziungama  dhambi zako,  na kuziweka  mbali na  moyo wako. Umeamua kujitoa mwenyewe kwa Mungu.Basi nenda kwake, na kumwomba akusafishe dhambi zako zote, akupe moyo mpya.  Kisha amini kwamba anafanya hivyo  kwa kuwa ndivyo alivyoahidi.

Hili ndilo fundisho alilolifundisha Yesu alipokuwa hapa duniani, ya kwamba zawadi anayotuahidi Mungu kutupa, ni lazima sisi tuamini kwamba tumeipokea, nayo itakuwa yetu.Yesu aliwaponya watu maradhi yao walipouamini uwezo wake.Aliwasaidia katika mambo waliyoweza kuyaona kwa macho ya kimwili, ili wapate kumtumaini juu ya mambo wasiyoweza kuyaona, yaani, wapate kusadiki uwezo wake katika kuwasamehe dhambi zao. Hivi ndivyo alivyoeleza wazi katika kumponya yule mgonjwa aliyepooza:  “Lakini mpate kujua ya kwamba Mwana wa Adamu anayo amri duniani ya kusamehe dhambi, (amwambia yule mwenye kupooza), Ondoka, ujitwike kitanda chako, uende nyumbani  kwako.”  Mathayo 9:6.  Pia Yohana, mwinjilisti, akiongea juu ya miujiza yake Kristo, asema hivi:  “Lakini hizi zimeandikwa ili mpate kuamini ya kwamba Yesu ndiye Kristo, Mwana wa Mungu;  na kwa kuamini mwe na uzima kwa jina lake.”  Yoh. 20:31.

Kutokana na  habari za kawaida tuzipatazo katika Biblia kuhusu jinsi Yesu alivyowaponya wagonjwa, twaweza kujifunza kitu fulani juu ya kumwamini yeye kwa ajili ya msamaha wa dhambi zetu.  Hebu na tukigeukie kisa kile cha mgonjwa aliyepooza pale Bethzatha. Alikuwa hoi  kwa ugonjwa tangu miaka thelathini na minane asiweze kwenda kwa miguu. Lakini alimwamuru, alisema, “Simama, jitwike godoro lako, uende.”  Yoh. 5:8.  Yule mgonjwa angaliweza kusema:  “Bwana, kama utaniponya nitafanya usemayo.”  Lakini sivyo.  Aliliamini neno la Kristo, aliamini kwamba amepona, akajitahidi  mara moja;  akakaza  nia yake ya kwenda, naye akaenda kweli. Alifanya kama Yesu alivyosema, Mungu naye akampa nguvu, mgonjwa akapona.

14/06/2016

A Warning Against Hypocrisy.......


This chapter is based on Acts 4:32-37 to 5:11.
       



As the disciples proclaimed the truths of the gospel in Jerusalem, God bore witness to their word, and a multitude believed. Many of these early believers were immediately cut off from family and friends by the zealous bigotry of the Jews, and it was necessary to provide them with food and shelter. AA 70.1The record declares, “Neither was there any among them that lacked,” and it tells how the need was filled. Those among the believers who had money and possessions cheerfully sacrificed them to meet the emergency. Selling their houses or their lands, they brought the money and laid it at the apostles’ feet, “and distribution was made unto every man according as he had need.” AA 70.2 This liberality on the part of the believers was the result of the outpouring of the Spirit. The converts to the gospel were “of one heart and of one soul.” One common interest controlled them—the success of the mission entrusted to them; and covetousness had no place in their lives. Their love for their brethren and the cause they had espoused, was greater than their love of money and possessions. Their works testified that they accounted the souls of men of higher value than earthly wealth. AA 70.3

Thus it will ever be when the Spirit of God takes possession of the life. Those whose hearts are filled with the love of Christ, will follow the example of Him who for our sake became poor, that through His poverty we might be made rich. Money, time, influence—all the gifts they have received from God’s hand, they will value only as a means of advancing the work of the gospel. Thus it was in the early church; and when in the church of today it is seen that by the power of the Spirit the members have taken their affections from the things of the world, and that they are willing to make sacrifices in order that their fellow men may hear the gospel, the truths proclaimed will have a powerful influence upon the hearers. AA 71.1 In sharp contrast to the example of benevolence shown by the believers, was the conduct of Ananias and Sapphira, whose experience, traced by the pen of Inspiration, has left a dark stain upon the history of the early church. With others, these professed disciples had shared the privilege of hearing the gospel preached by the apostles. They had been present with other believers when, after the apostles had prayed, “the place was shaken where they were assembled together; and they were all filled with the Holy Ghost.” Acts 4:31. Deep conviction had rested upon all present, and under the direct influence of the Spirit of God, Ananias and Sapphira had made a pledge to give to the Lord the proceeds from the sale of certain property. AA 71.2

Afterward, Ananias and Sapphira grieved the Holy Spirit by yielding to feelings of covetousness. They began to regret their promise and soon lost the sweet influence of the blessing that had warmed their hearts with a desire to do large things in behalf of the cause of Christ. They thought they had been too hasty, that they ought to reconsider their decision. They talked the matter over, and decided not to fulfill their pledge. They saw, however, that those who parted with their possessions to supply the needs of their poorer brethren, were held in high esteem among the believers; and ashamed to have their brethren know that their selfish souls grudged that which they had solemnly dedicated to God, they deliberately decided to sell their property and pretend to give all the proceeds into the general fund, but really to keep a large share for themselves. Thus they would secure their living from the common store and at the same time gain the high esteem of their brethren. AA 72.1But God hates hypocrisy and falsehood. Ananias and Sapphira practiced fraud in their dealing with God; they lied to the Holy Spirit, and their sin was visited with swift and terrible judgment. When Ananias came with his offering, Peter said: “Ananias, why hath Satan filled thine heart to lie to the Holy Ghost, and to keep back part of the price of the land? Whiles it remained, was it not thine own? and after it was sold, was it not in thine own power? why hast thou conceived this thing in thine heart? thou hast not lied unto men, but unto God.” AA 72.2
“Ananias hearing these words fell down, and gave up the ghost: and great fear came on all them that heard these things.” AA 73.1
“Whiles it remained, was it not thine own?” Peter asked. No undue influence had been brought to bear upon Ananias to compel him to sacrifice his possessions to the general good. He had acted from choice. But in attempting to deceive the disciples, he had lied to the Almighty. AA 73.2

“It was about the space of three hours after, when his wife, not knowing what was done, came in. And Peter answered unto her, Tell me whether ye sold the land for so much? And she said, Yea, for so much. Then Peter said unto her, How is it that ye have agreed together to tempt the Spirit of the Lord? behold, the feet of them which have buried thy husband are at the door, and shall carry thee out. Then fell she down straightway at his feet, and yielded up the ghost: and the young men came in, and found her dead, and, carrying her forth, buried her by her husband. And great fear came upon all the church, and upon as many as heard these things.” AA 73.3

Infinite Wisdom saw that this signal manifestation of the wrath of God was necessary to guard the young church from becoming demoralized. Their numbers were rapidly increasing. The church would have been endangered if, in the rapid increase of converts, men and women had been added who, while professing to serve God, were worshiping mammon. This judgment testified that men cannot deceive God, that He detects the hidden sin of the heart, and that He will not be mocked. It was designed as a warning to the church, to lead them to avoid pretense and hypocrisy, and to beware of robbing God. AA 73.4
Not to the early church only, but to all future generations, this example of God’s hatred of covetousness, fraud, and hypocrisy, was given as a danger-signal. It was covetousness that Ananias and Sapphira had first cherished. The desire to retain for themselves a part of that which they had promised to the Lord, led them into fraud and hypocrisy. AA 74.1
God has made the proclamation of the gospel dependent upon the labors and the gifts of His people. Voluntary offerings and the tithe constitute the revenue of the Lord’s work. Of the means entrusted to man, God claims a certain portion,—the tenth. He leaves all free to say whether or not they will give more than this. But when the heart is stirred by the influence of the Holy Spirit, and a vow is made to give a certain amount, the one who vows has no longer any right to the consecrated portion. Promises of this kind made to men would be looked upon as binding; are those not more binding that are made to God? Are promises tried in the court of conscience less binding than written agreements of men? AA 74.2

When divine light is shining into the heart with unusual clearness and power, habitual selfishness relaxes its grasp and there is a disposition to give to the cause of God. But none need think that they will be allowed to fulfill the promises then made, without a protest on the part of Satan. He is not pleased to see the Redeemer’s kingdom on earth built up. He suggests that the pledge made was too much, that it may cripple them in their efforts to acquire property or gratify the desires of their families. AA 74.3
It is God who blesses men with property, and He does this that they may be able to give toward the advancement of His cause. He sends the sunshine and the rain. He causes vegetation to flourish. He gives health and the ability to acquire means. All our blessings come from His bountiful hand. In turn, He would have men and women show their gratitude by returning Him a portion in tithes and offerings—in thank offerings, in freewill offerings, in trespass offerings. Should means flow into the treasury in accordance with this divinely appointed plan,—a tenth of all the increase, and liberal offerings,—there would be an abundance for the advancement of the Lord’s work. AA 75.1
But the hearts of men become hardened through selfishness, and, like Ananias and Sapphira, they are tempted to withhold part of the price, while pretending to fulfill God’s requirements. Many spend money lavishly in self-gratification. Men and women consult their pleasure and gratify their taste, while they bring to God, almost unwillingly, a stinted offering. They forget that God will one day demand a strict account of how His goods have been used, and that He will no more accept the pittance they hand into the treasury than He accepted the offering of Ananias and Sapphira. AA 75.2

From the stern punishment meted out to those perjurers, God would have us learn also how deep is His hatred and contempt for all hypocrisy and deception. In pretending that they had given all, Ananias and Sapphira lied to the Holy Spirit, and, as a result, they lost this life and the life that is to come. The same God who punished them, today condemns all falsehood. Lying lips are an abomination to Him. He declares that into the Holy City “there shall in no wise enter ... anything that defileth, neither whatsoever worketh abomination, or maketh a lie.” Revelation 21:27. Let truth telling be held with no loose hand or uncertain grasp. Let it become a part of the life. Playing fast and loose with truth, and dissembling to suit one’s own selfish plans, means shipwreck of faith. “Stand therefore, having your loins girt about with truth.” Ephesians 6:14. He who utters untruths sells his soul in a cheap market. His falsehoods may seem to serve in emergencies; he may thus seem to make business advancement that he could not gain by fair dealing; but he finally reaches the place where he can trust no one. Himself a falsifier, he has no confidence in the word of others. AA 75.3

In the case of Ananias and Sapphira, the sin of fraud against God was speedily punished. The same sin was often repeated in the after history of the church and is committed by many in our time. But though it may not be attended by the visible manifestation of God’s displeasure, it is no less heinous in His sight now than in the apostles’ time. The warning has been given; God has clearly manifested His abhorrence of this sin; and all who give themselves up to hypocrisy and covetousness may be sure that they are destroying their own souls.