Basi mtiini Mungu.Mpingeni Shetani,naye atawakimbia Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi.Itakaseni mikono yenu, enyi wenye dhambi,na kuishafisha mioyo yenu,enyi wenye nia mbili{Yakobo 4:7-8} Submit yourselves then, to God, Resist the devil,and he will flee from you.come near to God and he will. come near you.wash your hands you sinners and purify your hearts you double minded.{James 4:7-8}NIV
01/12/2014
29/11/2014
ASOMAYE NA AFAHAMU
Pombe haikuwa sehemu ya kinywaji ambacho Mungu alimpa
mwanadamu; maji safi na salama ndicho kinywaji bora kuliko
vyote kwa mwanadamu (Mithali 20:1; 23:29-35). Walevi
hawataurithi ufalme wa Mungu (1 Kor. 6:9,10; Gal. 5:21). Kuna
wengi wanaosema, "Mimi nakunywa sana, lakini silewi." Tatizo
la pombe sio kulewa tu, bali ni zile athari zinazotokana na
kunywa pombe ambayo ina sumu mbaya ya alkoholi. Sumu hiyo
huathiri vibaya moyo, mishipa ya fahamu, nyama za mwili na
kadhalika. Mungu atamharibu mtu ye yote anayeuharibu mwili wake
kwa makusudi kwa njia yo yote ile ----- pombe, tumbako, madawa
ya kulevya, na kadhalika (1 Kor. 3:16,17). Pia kuna vinywaji
vinavyopendwa na watu wengi aina ya 'Cola', Kahawa, na Majani ya
Chai ambavyo huidhuru mishipa ya fahamu, ubongo na mwili.
Viepukwe.
27/11/2014
HAPO MWANZO
Hapo mwanzo ulimwengu huu ulikuwa ukiwa na roho ya MUNGU ilikuwa juu ya vilindi vya maji ndipo BWANA akaamua kuufanya upya ulimwengu huu katika kazi yake aliyofanya ulimwengu huu uliwekwa katika madhari nzuri na hali ya kupendeza sana katika kazi yake ya juma zima aliweza kufanya viumbe watakaoishi katika ulimwengu huu wenye madhari nzuri ya yakipee ebu twende pamoja tuone ni mambo gani na hali gani iliyoleta maaafa hapo baadae
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)