Lebo

03/08/2015

KUTUBU

Sehemu ya 2

Hatutaikataa dhambi mpaka hapo tutakapoona ubaya wake ulivyo hasa; yaani ,hapatakuwa na
badiliko la kweli katika maisha yetu mpaka hapo tutakapogeuka katika mioyo yetu na kwenda mbali nayo,Kuna watu wengi wanaoshindwa kuelewa jinsi kutubu kwenyewe kulivyo hasa. Wengi sana huhuzunika kwamba wametenda dhambi, na hata wanafanya matengenezo ya
nje, kwa sababu wanaogopa kwamba matendo yao mabaya waliyotenda yataleta mateso
juu yao wenyewe.

Lakini huku si kutubu kwa maana ile ya Biblia. Wao huomboleza kwa ajili ya mateso wanayopata kuliko kwa ajili ya ile dhambi waliyotenda. Hayo yalikuwa ndiyo majuto ya Esau alipoona ya kwamba alikuwa ameupoteza urithi wake milele. Balaamu, alipotiwa hofu nyingi sana kwa ajili ya kumwona malaika aliyesimama mbele yake na upanga mkononi mwake, alikiri kosa lake asije akapoteza maisha yake; lakini hakutubu kwa kweli, nia yake haikugeuka, yaani, hakuchukizwa na yale maovu,Yuda Iskariote, baada ya kumsaliti Bwana wake, alisema, “Nalikosa nilipoisaliti damu isiyo na hatia.” Mathayo 27:3.


Ungamo lile lililazimishwa kutoka katika moyo wake wenye hatia kutokana na hisia ya lawama ya kuogofya sana iliyokuwa ndani yake na kutazamia hukumu iliyokuwa mbele yake. Matokeo ambayo yangempata yalimjaza hofu kuu, lakini moyoni mwake haikuwamo huzuni yenye kina, yenye kuuvunja-vunja moyo wake, na kumwonyesha kwamba ni yeye aliyekuwa amemsaliti Mwana wa Mungu asiye na mawaa, na kumkana yule Mtakatifu wa Israeli.

Farao, alipoteswa kwa hukumu za Mungu, alikiri dhambi yake ili apate kuepuka adhabu zaidi; lakini mapigo yalipokoma, alizidi kufanya kiburi dhidi ya Mbingu. Watu hao wote waliomboleza kutokana na matokeo ya dhambi, lakini hawakuhuzunika kwa ajili ya dhambi ile yenyewe.

31/07/2015

Did you know the God’s Purpose for the Youth?????

  A Call to the Youth _ PART 7

You should be prepared to follow the example of these noble youth. Never be ashamed of your colors; put them on, unfurl them to the gaze of men and angels. Do not be controlled by false modesty, by false prudence which suggests to you a course of action contrary to this advice. By your choice words and a consistent course of action, by your propriety, your earnest piety, make a telling confession of your faith, determined that Christ shall occupy the throne in the soul temple; and lay your talents without reserve at His feet to be employed in His service.



Complete Consecration

For your present and eternal good it is best to commit yourself wholly to the right, that the world may know where you are standing. Many are not wholly committed to the cause of God, and their
position of wavering is a source of weakness in itself, and a stone of stumbling to others.

23/07/2015

Did you know the God’s Purpose for the Youth?????


 A Call to the Youth _ PART 6




In the history of Joseph, Daniel, and his fellows, we see how the golden chain of truth may bind the youth to the throne of God. They could not be tempted to turn aside from their course of integrity.
They valued the favor of God above the favor and praise of princes, and God loved them and spread His shield over them.

Because of their faithful integrity, because of their determination to honor God  above every human power, the Lord signally honored them before men. They were honored by the Lord God of hosts, whose power is over all the works of His hand in heaven above and the earth beneath.

These youth were not ashamed to display their true colors. Even in the court of the king, in their words, their habits, their practices, they confessed their faith in the Lord God of heaven. They refused
to bow to any earthly mandate that detracted from the honor of God. They had strength from heaven to confess their allegiance to God.

20/07/2015

KUTUBU


Sehemu ya 1

Je, mwanadamu anawezaje kuwa mwenye haki mbele za Mungu? Mwenye dhambi anawezaje kufanywa kuwa mwenye haki? Ni kwa njia pekee ya Kristo sisi tunaweza kupatanishwa na Mungu na kuwekwa katika hali ya utakatifu; lakini, je, twawezaje kufika kwake Kristo? Wengi wangali wakijiuliza swali lile lile kama walivyojiuliza watu wengi siku ile ya Pentekoste walipochomwa mioyo yao kwa ajili ya dhambi zao, na kulia, “Tutendeje?”


Neno la kwanza la jibu la Petro lilikuwa ni hili “Tubuni.” Mahali pengine pia alisema hivi, “Tubuni basi, mrejee, ili dhambi zenu zifutwe.” Matendo 2:38; 3:19. Kutubu kunajumuisha huzuni kwa ajili ya dhambi, na kugeuka kwenda mbali nayo. Hatutaikataa dhambi mpaka hapo tutakapoona ubaya wake ulivyo hasa; yaani, hapatakuwa na badiliko la kweli katika maisha yetu mpaka hapo tutakapogeuka katika mioyo yetu na kwenda mbali nayo.

Did you know the God’s Purpose for the Youth?????


A Call to the Youth _ PART  5



“The fear of the Lord is the beginning of wisdom.” Many of our youth do not feel the necessity of bringing their powers into vigorous exercise to do their best at all times and under all circumstances.
They do not have the fear of God before their eyes, and their thoughts are not pure and elevated.
All heaven is cognizant of every thought and every action. Your actions may be unseen by your associates, but they are all open to the inspection of angels. The angels are commissioned to minister
unto those who are striving to overcome every wrong habit, and stand clear from the devices of Satan.

The power of little acts of evil, of small inconsistencies to mold character, are not estimated as they should be. The grandest and most elevated principles are revealed to us in the Word of God. They
are given to us to strengthen every effort for good, to control and balance the mind, to lead us to aspire to reach a high standard.

18/07/2015

Did you know the God’s Purpose for the Youth?????


A Call to the Youth PART 4


The youth have been bought with an infinite price, even the blood of the Son of God. Consider the sacrifice of the Father in permitting His Son to make this sacrifice. Consider what Christ gave up when Building Character for Eternity He left the courts of heaven and the royal throne, to give His life a daily sacrifice for men he suffered reproach and abuse.

 He bore all the insult and mockery that wicked men could heap upon Him. And when His earthly ministry was accomplished, He suffered the death of the cross. Consider His sufferings on the cross,the nails driven into His hands and feet, the derision and abuse from those He came to save, the hiding of His Father’s face. But it was by all this that Christ made it possible for all who will to have the life that measures with the life of God

When Christ ascended to the Father, He did not leave His followers without help. The Holy Spirit, as His representative, and the heavenly angels, as ministering spirits, are sent forth to aid those
who against great odds are fighting the good fight of faith. Ever remember that Jesus is your helper. No one understands as well as He your peculiarities of character. He is watching over you, and
if you are willing to be guided by Him, He will throw around you influences for good that will enable you to accomplish all His will for you.

16/07/2015

Did you know the God’s Purpose for the Youth?????

  A Call to the Youth PART 3


 Young men should have broad ideas, wise plans, that they may make the most of their opportunities, catch the inspiration and courage that animated the apostles. John says, “I have written unto
you, young men, because ye are strong, and the word of God abideth in you, and ye have overcome the wicked one,An elevated standard is presented before the youth, and God is inviting them to come into real service for Him.

True hearted young men who delight to be learners in the school of Christ, can do a great work for the Master, if they will only give heed to the command of the Captain as it sounds down along the lines to our time, “Quit you like men, be strong,You are to be men who will walk humbly with God, who will stand before Him in your God-given manhood, free from impurity, free from all contamination from the sensuality that is corrupting this age.

must be men who will despise all falsity and wickedness, who will dare to be true and brave, holding aloft the blood-stained banner of Prince Emmanuel. Your talents will increase as you use them for the Master, and they will be esteemed precious by Him who has bought them with an infinite price. Do not sit down and neglect to do anything, simply because you cannot do some great
thing, but do whatever your hands find to do, with thoroughness and energy.... .