
Basi mtiini Mungu.Mpingeni Shetani,naye atawakimbia Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi.Itakaseni mikono yenu, enyi wenye dhambi,na kuishafisha mioyo yenu,enyi wenye nia mbili{Yakobo 4:7-8} Submit yourselves then, to God, Resist the devil,and he will flee from you.come near to God and he will. come near you.wash your hands you sinners and purify your hearts you double minded.{James 4:7-8}NIV
21/04/2015
20/04/2015
JE, WAFU WANAWEZA KUONGEA NASI somo la 3?
Shetani anao uwezo wa kuleta mbele ya wanadamu mfano [kivuli] wa ndugu zao waliokufa. Mfano huo [umbile la marehemu] unakuwa kamili; mtazamo wake huwa ni ule ule waliouzoea kuuona, maneno yake, sauti yake, huigwa kabisa kwa namna ya kushangaza sana.
Wengi hufarijika kwa matumaini ya kwamba ndugu zao wapendwa wanafurahia raha isiyo na kifani kule mbinguni, na bila kushuku hatari inayowakabili, wanatega sikio lao "wakisikiliza roho [mapepo] zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani." [l Timotheo 4:l.]
Baada ya kusadiki kwamba wafu wanarudi kweli na kuongea nao, Shetani anafanya watokee wale walioingia makaburini mwao wakiwa hawajajiweka tayari [yaani, waovu].Hao hudai kwamba wanayo furaha mbinguni na ya kwamba wanakalia hata vyeo vya juu kule, na kwa njia hiyo uongo unaenezwa kote kwamba hakuna tofauti yo yote kati ya
wenye haki na waovu.
Wageni hao wasemao uongo [mapepo] wanaowatembelea [wanadamu] kutoka katika ulimwengu wa roho wakati mwingine wanatoa tahadhari na maonyo ambayo hutokea kuwa ni ya kweli. Basi, imani [ya walio hai] inapoimarishwa hivyo, wanaanza kutoa mafundisho ambayo moja kwa moja yanaihafifisha imani [ya watu hao] katika Maandiko.
Huku wakijionyesha kuwa wanapenda sana kuwaona marafiki zao waliomo duniani wakiwa na hali njema ya maisha, wanapenyeza mafundisho ya uongo kwa hila ambayo ni ya hatari sana [kiroho]. Ukweli wa kwamba wanatoa baadhi ya mafundisho yaliyo ya kweli, na wakati fulani wanaweza kubashiri matukio yatakayotokea baadaye, hufanya maneno yao wanayosema yawe na mwonekano
wa kutegemewa; mafundisho yao ya uongo yanapokelewa kwa upesi na watu wengi sana, na kusadikiwa kabisa [pasipo shaka lo lote], kana kwamba [maneno hayo] yalikuwa ni zile kweli takatifu sana za Biblia.
Sheria ya Mungu [Amri Kumi] huwekwa kando, Roho wa neema anadharauliwa, na damu ile ya agano inahesabiwa kuwa ni kitu kilicho najisi. Roho hizo [mapepo] zinakana Uungu wa Kristo na hata zinamweka Muumbaji kuwa yuko sawa nazo. Hivyo chini ya umbo hilo jipya la kuigiza Mwasi yule Mkuu [Shetani] bado anaendelea na pambano lake dhidi ya Mungu lililoanza kule mbinguni na
[sasa] ni karibu miaka elfu sita limeendelezwa duniani humu.
Wengi hufarijika kwa matumaini ya kwamba ndugu zao wapendwa wanafurahia raha isiyo na kifani kule mbinguni, na bila kushuku hatari inayowakabili, wanatega sikio lao "wakisikiliza roho [mapepo] zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani." [l Timotheo 4:l.]
Baada ya kusadiki kwamba wafu wanarudi kweli na kuongea nao, Shetani anafanya watokee wale walioingia makaburini mwao wakiwa hawajajiweka tayari [yaani, waovu].Hao hudai kwamba wanayo furaha mbinguni na ya kwamba wanakalia hata vyeo vya juu kule, na kwa njia hiyo uongo unaenezwa kote kwamba hakuna tofauti yo yote kati ya
wenye haki na waovu.
Wageni hao wasemao uongo [mapepo] wanaowatembelea [wanadamu] kutoka katika ulimwengu wa roho wakati mwingine wanatoa tahadhari na maonyo ambayo hutokea kuwa ni ya kweli. Basi, imani [ya walio hai] inapoimarishwa hivyo, wanaanza kutoa mafundisho ambayo moja kwa moja yanaihafifisha imani [ya watu hao] katika Maandiko.
Huku wakijionyesha kuwa wanapenda sana kuwaona marafiki zao waliomo duniani wakiwa na hali njema ya maisha, wanapenyeza mafundisho ya uongo kwa hila ambayo ni ya hatari sana [kiroho]. Ukweli wa kwamba wanatoa baadhi ya mafundisho yaliyo ya kweli, na wakati fulani wanaweza kubashiri matukio yatakayotokea baadaye, hufanya maneno yao wanayosema yawe na mwonekano
wa kutegemewa; mafundisho yao ya uongo yanapokelewa kwa upesi na watu wengi sana, na kusadikiwa kabisa [pasipo shaka lo lote], kana kwamba [maneno hayo] yalikuwa ni zile kweli takatifu sana za Biblia.
Sheria ya Mungu [Amri Kumi] huwekwa kando, Roho wa neema anadharauliwa, na damu ile ya agano inahesabiwa kuwa ni kitu kilicho najisi. Roho hizo [mapepo] zinakana Uungu wa Kristo na hata zinamweka Muumbaji kuwa yuko sawa nazo. Hivyo chini ya umbo hilo jipya la kuigiza Mwasi yule Mkuu [Shetani] bado anaendelea na pambano lake dhidi ya Mungu lililoanza kule mbinguni na
[sasa] ni karibu miaka elfu sita limeendelezwa duniani humu.
19/04/2015
JE, WAFU WANAWEZA KUONGEA NASI somo la 2?
Fundisho lisemalo kwamba mtu anapokufa anaendelea kuishi, hasa imani ile isemayo
kwamba roho za wafu zinarudi kuja kuwatumikia walio hai, limetayarisha njia kwa dini
ya siku hizi ya kuongea na mizimu (modern spiritualism).
Kama wafu wanaruhusiwa kufika mbele za Mungu na mbele ya malaika watakatifu, na kupewa uwezo wa kuwa na maarifa yanayozidi yale waliyokuwa nayo kwanza, kwa nini, basi, wasirudi duniani na kugawa maarifa yao na kuwafundisha walio hai? Iwapo roho za wafu zinarukaruka juu ya
[vichwa vya] rafiki zao waliomo duniani humu, kama wafundishavyo wanatheolojia hao
wanaopendwa sana na watu wengi,
EBU jiulize kwa nini, basi, wasiruhusiwe kuongea nao, na kuwaonya dhidi ya maovu, ama kuwafariji katika huzuni zao?
Ni kwa jinsi gani wale wanaoamini kwamba mtu akifa roho yake inaendelea kuishi wanaweza KUIKATAA nuru ile inayowajia kama nuru itokayo mbinguni ambayo inaletwa na pepo [roho] hao
wenye utukufu?
Hapo ndipo ipo njia inayodhaniwa kuwa ni takatifu, ambayo Shetani anaitumia kutekeleza MAKUSUDI yake. Malaika wale walioanguka ambao wanatekeleza amri zake [Shetani] wanakuja kama wajumbe wanaotoka katika ulimwengu wa roho. Wakati [wenye dini ya mizimu] wanadai kwamba wanawaleta walio hai katika mawasiliano na wafu, hapo ndipo yule mkuu wa uovu anapotumia nguvu yake ya uchawi juu ya mioyo [akili] yao [hao walio hai].
kwamba roho za wafu zinarudi kuja kuwatumikia walio hai, limetayarisha njia kwa dini
ya siku hizi ya kuongea na mizimu (modern spiritualism).
Kama wafu wanaruhusiwa kufika mbele za Mungu na mbele ya malaika watakatifu, na kupewa uwezo wa kuwa na maarifa yanayozidi yale waliyokuwa nayo kwanza, kwa nini, basi, wasirudi duniani na kugawa maarifa yao na kuwafundisha walio hai? Iwapo roho za wafu zinarukaruka juu ya
[vichwa vya] rafiki zao waliomo duniani humu, kama wafundishavyo wanatheolojia hao
wanaopendwa sana na watu wengi,
EBU jiulize kwa nini, basi, wasiruhusiwe kuongea nao, na kuwaonya dhidi ya maovu, ama kuwafariji katika huzuni zao?
Ni kwa jinsi gani wale wanaoamini kwamba mtu akifa roho yake inaendelea kuishi wanaweza KUIKATAA nuru ile inayowajia kama nuru itokayo mbinguni ambayo inaletwa na pepo [roho] hao
wenye utukufu?
Hapo ndipo ipo njia inayodhaniwa kuwa ni takatifu, ambayo Shetani anaitumia kutekeleza MAKUSUDI yake. Malaika wale walioanguka ambao wanatekeleza amri zake [Shetani] wanakuja kama wajumbe wanaotoka katika ulimwengu wa roho. Wakati [wenye dini ya mizimu] wanadai kwamba wanawaleta walio hai katika mawasiliano na wafu, hapo ndipo yule mkuu wa uovu anapotumia nguvu yake ya uchawi juu ya mioyo [akili] yao [hao walio hai].
JE, WAFU WANAWEZA KUONGEA NASI?
Huduma ya malaika watakatifu, kama ilivyoelezwa katika Maandiko, ni ukweli wenye
faraja kuu na wa thamani kwa kila mfuasi wa Kristo.Walakini fundisho la Biblia juu ya jambo hili limetiwa giza na kupotoshwa kwa njia ya makosa yanayotokana na theolojia inayopendwa sana na watu wengi.
wale waliokufa "watumikao, wakitumwa kuwahudumu wale watakaourithi wokovu."
Walakini [imani] hiyo ni kinyume na ushuhuda wa Maandiko yanayohusu kuwako kwa
malaika mbinguni, na uhusiano wao na historia ya mwanadamu, kabla ya [kutokea] kifo
cha mwanadamu ye yote.
13/04/2015
Why is enthusiasm so important to success.....................?
The reason is that the difference between success and failure is often minute. Two people with virtually the same amount of skill and talent can differ vastly in the amount of success they achieve. This difference can’t be attributed to having more ability than the other person. In fact, in many cases, the more successful person actually has less ability. The difference is in enthusiasm.
04/04/2015
Belief and Unbelief...
How much do we believe from the heart?
Draw nigh to God, and God will draw nigh to you.
This means to be much with the Lord in prayer. When those who have educated themselves in
skepticism and have cherished unbelief, weaving questioning doubts into their experience, are under
conviction of the Spirit of God, they see it to be their personal duty to confess their unbelief. They open their hearts to accept the light sent them and throw themselves by faith over the line from sin to
righteousness, from doubt to faith. They consecrate themselves unreservedly to God, to follow His light in the place of the sparks of their own kindling. As they maintain their consecration, they will see increased light and the light will continue to grow brighter and brighter unto the perfect day.
Ellen G White Faith and Works pg 17.1
The unbelief which is cherished in the soul has a bewitching power. The seeds of doubt that they
have been sowing will produce their harvest but they must continue to dig up every root of unbelief.
When these poisonous plants are pulled up, they cease to grow for want of nourishment in word and
action. The soul must have the precious plants of faith and love put in the soil of the heart and enthroned there.
Ellen G White Faith and Works pg 17.2
Draw nigh to God, and God will draw nigh to you.
This means to be much with the Lord in prayer. When those who have educated themselves in
skepticism and have cherished unbelief, weaving questioning doubts into their experience, are under
conviction of the Spirit of God, they see it to be their personal duty to confess their unbelief. They open their hearts to accept the light sent them and throw themselves by faith over the line from sin to
righteousness, from doubt to faith. They consecrate themselves unreservedly to God, to follow His light in the place of the sparks of their own kindling. As they maintain their consecration, they will see increased light and the light will continue to grow brighter and brighter unto the perfect day.
Ellen G White Faith and Works pg 17.1
The unbelief which is cherished in the soul has a bewitching power. The seeds of doubt that they
have been sowing will produce their harvest but they must continue to dig up every root of unbelief.
When these poisonous plants are pulled up, they cease to grow for want of nourishment in word and
action. The soul must have the precious plants of faith and love put in the soil of the heart and enthroned there.
Ellen G White Faith and Works pg 17.2
31/03/2015
The Call to Young People
Divine Appointment
The Lord has appointed the youth to be His helping hand.Testimonies, vol. 7, p. 64.
With such an army of workers as our youth, rightly trained, might furnish, how soon the message of a crucified, risen, and soon-coming Saviour might be carried to the whole world! Education, p. 271.
We have an army of youth today who can do much if they are properly directed and encouraged. We want our children to believe the truth. We want them to be blessed of God. We want them to act a part in well-organized plans for helping other youth. Let all be so trained that they may rightly represent the truth, giving the reason of the hope that is within them, and honoring God in any branch of the work where they are qualified to labor.
General Conference Bulletin, vol. 5, no. 2, p. 24 (Jan. 29, 30, 1893).
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)