Lebo

24/04/2015

God’s people in this time,,,

The experience of Nehemiah is repeated in the history of God’s people in this time. Those who labor in the cause of truth will find that they cannot do this without exciting the anger of its enemies. Though they have been called of God to the work in which they are engaged, and their course is approved of Him, they cannot escape reproach and derision.
                                                     


They will be denounced as visionary, unreliable, scheming, hypocritical, anything, in short, that will suit the purpose of their enemies. The most sacred things will be represented in a ridiculous light to amuse the ungodly. A very small amount of sarcasm and low wit, united with envy, jealousy, impiety, and hatred, is sufficient to excite the mirth of the profane scoffer. 

And these presumptuous jesters sharpen one another`s ingenuity, and embolden each other in their blasphemous work. Contempt and derision are indeed painful to human nature; but they must be endured by all who are true to God. It is the policy of Satan thus to turn souls from doing the work which the Lord has laid upon them.
Ellen G White The Southern Watchman, April 12, 1904. {Chs 173.3}

BEGINNINGS.....!!!!!!


The promise that Jesus would come as our Savior had been made in the Garden of Eden. When Adam and Eve first heard it, they expected a quick fulfillment. So when they held their firstborn son in their arms, they both hoped he would be the Redeemer. But that was not to be.

Thousands of years later, as God’s appointed time came, Jesus left heaven to be born in Bethlehem.In becoming human, Jesus demonstrated ultimate humility. On earth His physical surroundings were primitive. Hehind His glory from those who saw Him and shunned all outward display.
                                             


The angels marveled at such a plan of redemption and watched to see how the people of God would receive His Son.The Roman decree to register everyone in the vast empire extended to the humble people living in the hills of Galilee.Angels watched over Joseph and Mary as they journeyed from their home in Nazareth south to Bethlehem.

When the two arrived in Bethlehem, weary and homeless, they walked the length of the main street, from the gate of the city to the eastern end of the town, seeking a place to spend the night. But there was no room for them anywhere! Finally, in a crude animal shelter, they found a place to lie down, and Mary gave birth to her son, the Redeemer of the world.

Above the hills of Bethlehem an immense throng of angels had gathered for this moment, and at His birth they began to sing this great news to the world. Unfortunately, the religious leadership in Israel, ignoring their destiny, did not share in the celebration.

20/04/2015

JE, WAFU WANAWEZA KUONGEA NASI somo la 3?

Shetani anao uwezo wa kuleta mbele ya wanadamu mfano [kivuli] wa ndugu zao waliokufa. Mfano huo [umbile la marehemu] unakuwa kamili; mtazamo wake huwa ni ule ule waliouzoea kuuona, maneno yake, sauti yake, huigwa kabisa kwa namna ya kushangaza sana.

Wengi hufarijika kwa matumaini ya kwamba ndugu zao wapendwa wanafurahia raha isiyo na kifani kule mbinguni, na bila kushuku hatari inayowakabili, wanatega sikio lao "wakisikiliza roho [mapepo] zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani." [l Timotheo 4:l.]

Baada ya kusadiki kwamba wafu wanarudi kweli na kuongea nao, Shetani anafanya watokee wale walioingia makaburini mwao wakiwa hawajajiweka tayari [yaani, waovu].Hao hudai kwamba wanayo furaha mbinguni na ya kwamba wanakalia hata vyeo vya juu kule, na kwa njia hiyo uongo unaenezwa kote kwamba hakuna tofauti yo yote kati ya
wenye haki na waovu.


Wageni hao wasemao uongo [mapepo] wanaowatembelea [wanadamu] kutoka katika ulimwengu wa roho wakati mwingine wanatoa tahadhari na maonyo ambayo hutokea kuwa ni ya kweli. Basi, imani [ya walio hai] inapoimarishwa hivyo, wanaanza kutoa mafundisho ambayo moja kwa moja yanaihafifisha imani [ya watu hao] katika Maandiko.

Huku wakijionyesha kuwa wanapenda sana kuwaona marafiki zao waliomo duniani wakiwa na hali njema ya maisha, wanapenyeza mafundisho ya uongo kwa hila ambayo ni ya hatari sana [kiroho]. Ukweli wa kwamba wanatoa baadhi ya mafundisho yaliyo ya kweli, na wakati fulani wanaweza kubashiri matukio yatakayotokea baadaye, hufanya maneno yao wanayosema yawe na mwonekano
wa kutegemewa; mafundisho yao ya uongo yanapokelewa kwa upesi na watu wengi sana, na kusadikiwa kabisa [pasipo shaka lo lote], kana kwamba [maneno hayo] yalikuwa ni zile kweli takatifu sana za Biblia.


Sheria ya Mungu [Amri Kumi] huwekwa kando, Roho wa neema anadharauliwa, na damu ile ya agano inahesabiwa kuwa ni kitu kilicho najisi. Roho hizo [mapepo] zinakana Uungu wa Kristo na hata zinamweka Muumbaji kuwa yuko sawa nazo. Hivyo chini ya umbo hilo jipya la kuigiza Mwasi yule Mkuu [Shetani] bado anaendelea na pambano lake dhidi ya Mungu lililoanza kule mbinguni na
[sasa] ni karibu miaka elfu sita limeendelezwa duniani humu.

19/04/2015

JE, WAFU WANAWEZA KUONGEA NASI somo la 2?

Fundisho lisemalo kwamba mtu anapokufa anaendelea kuishi, hasa imani ile isemayo
kwamba roho za wafu zinarudi kuja kuwatumikia walio hai, limetayarisha njia kwa dini
ya siku hizi ya kuongea na mizimu (modern spiritualism).

Kama wafu wanaruhusiwa kufika mbele za Mungu na mbele ya malaika watakatifu, na kupewa uwezo wa kuwa na maarifa yanayozidi yale waliyokuwa nayo kwanza, kwa nini, basi, wasirudi duniani na kugawa maarifa yao na kuwafundisha walio hai? Iwapo roho za wafu zinarukaruka juu ya
[vichwa vya] rafiki zao waliomo duniani humu, kama wafundishavyo wanatheolojia hao
wanaopendwa sana na watu wengi,

EBU jiulize kwa nini, basi, wasiruhusiwe kuongea nao, na kuwaonya dhidi ya maovu, ama kuwafariji katika huzuni zao?



Ni kwa jinsi gani wale wanaoamini kwamba mtu akifa roho yake inaendelea kuishi wanaweza KUIKATAA nuru ile inayowajia kama nuru itokayo mbinguni ambayo inaletwa na pepo [roho] hao
wenye utukufu?

Hapo ndipo ipo njia inayodhaniwa kuwa ni takatifu, ambayo Shetani anaitumia kutekeleza MAKUSUDI yake. Malaika wale walioanguka ambao wanatekeleza amri zake [Shetani] wanakuja kama wajumbe wanaotoka katika ulimwengu wa roho. Wakati [wenye dini ya mizimu] wanadai kwamba wanawaleta walio hai katika mawasiliano na wafu, hapo ndipo yule mkuu wa uovu anapotumia nguvu yake ya uchawi juu ya mioyo [akili] yao [hao walio hai].

JE, WAFU WANAWEZA KUONGEA NASI?


Huduma ya malaika watakatifu, kama ilivyoelezwa katika Maandiko, ni ukweli wenye
faraja kuu na wa thamani kwa kila mfuasi wa Kristo.Walakini fundisho la Biblia juu ya jambo hili limetiwa giza na kupotoshwa kwa njia ya makosa yanayotokana na theolojia inayopendwa sana na watu wengi.

Fundisho lile lisemalo kwamba mwanadamu ana roho isiyokufa, ambalo liliazimwa kwanza kutoka kwa falsafa ya kipagani, na hatimaye wakati wa giza lile la UASI MKUU likaingizwa katika imani ya Kikristo, limechukua mahali pa ile kweli, inayofundishwa kwa wazi kabisa katika Maandiko, kwamba

 "WAFU HAWAJUI NENO LO LOTE." Watu wengi sana wamekuja kuamini kwamba ni roho za
wale waliokufa "watumikao, wakitumwa kuwahudumu wale watakaourithi wokovu."
Walakini [imani] hiyo ni kinyume na ushuhuda wa Maandiko yanayohusu kuwako kwa
malaika mbinguni, na uhusiano wao na historia ya mwanadamu, kabla ya [kutokea] kifo
cha mwanadamu ye yote.

13/04/2015

Why is enthusiasm so important to success.....................?




The reason is that the difference between success and failure is often minute. Two people with virtually the same amount of skill and talent can differ vastly in the amount of success they achieve. This difference can’t be attributed to having more ability than the other person. In fact, in many cases, the more successful person actually has less ability. The difference is in enthusiasm.