Lebo

08/08/2015

Waliopewa Kitabu - 1

Aya hizi ni NUKUU  kutoka DivineIslam’s Qur’an Viewer software v2.913


Assalamu’ alaikum! Kurani Tukufu huelekeza kidole chake kwenye kundi lile liitwalo “Waliopewa Kitabu”. Msomaji anaombwa asome Sura 3:113-115. Aali Imran. 003:113 “Wao (Waliopewa Kitabu) si wote sawa. Katika (hao) Waliopewa Kitabu wamo watu waliotengenea  wanasoma Aya za Mwenyezi Mungu nyakati za usiku, na pia wanasujudu (yaani wamesilimu).” 003:114 “Wanamwamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho, na wanaamrisha mema na wanakataza maovu na wanayaendea mbio mambo mema.

Na hao ndio miongoni mwa hao watendao mema (kweli kweli).” 003:115 “Na heri yo yote watakayoifanya hawatakanushiwa (thawabu zake). Na Mwenyezi Mungu anawajua wanaomcha (wakajiepusha na makatazo yake na wakafanya maamrisho yake).” 


 Watu hao wanajulikana kama ‘Wakristo’. Hao wanaitwa ‘Waliopewa Kitabu’ (Maandiko ya Biblia). Lakini miongoni mwao limo kundi la pekee. Kurani Tukufu yasema kwamba ipo tofauti kati ya hao ‘Wakristo’ na ya kwamba ‘si wote sawa.’

Je, kundi hilo la pekee ni akina nani ambao Nabii Muhammad (jina lake na liheshimiwe) alivuta mawazo ya watu kuelekea kwao kwa namna ya ajabu kama hiyo, ya kuwa wao ni ‘miongoni mwa hao watendao mema kweli kweli’! Hebu zingatia tabia zinazolitambulisha kundi hili la pekee kutoka katika Sura 3:113-115
 

1. si (Wakristo) wote sawa
 

2. katika (hao) waliopewa Kitabu wamo watu waliotengenea
 

3. wanasoma Aya za Mwenyezi Mungu
 

4. wanasujudu
 

5. wanamwamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho
 

6. wanaamrisha mema [wanafundisha kwa mamlaka yaliyo ya haki]
 

7. wanakataza maovu
 

8. wanayaendea mbio mambo mema [wanajitahidi kufanya yale yenye sifa njema]
 

9. hao ndio miongoni mwa hao watendao mema kweli
kweli
 

10. na heri yo yote watakayoifanya hawatakanushiwa. [Mwenyezi Mungu anawajua]

07/08/2015

Did you know the God’s Purpose for the Youth?????

  A Call to the Youth _ PART 8
With principles unsettled, unconsecrated as they are, the waves of temptation sweep them away from what they know to be right, and they do not make holy endeavor to overcome every wrong, and through the imputed righteousness of Christ, perfect a righteous character.



The world has a right to know just what may be expected from every intelligent human being. He who is a living embodiment of firm, decided, righteous principles, will be a living power upon his
associates; and he will influence others by his Christianity. Many do not discern and appreciate how great is the influence of each one for good or evil.

KUTUBU

Sehemu ya 3

 

Ungamo lile lililazimishwa kutoka katika moyo wake wenye hatia kutokana na hisia ya lawama ya kuogofya sana iliyokuwa ndani yake na kutazamia hukumu iliyokuwa mbele yake. Matokeo ambayo yangempata yalimjaza hofu kuu, lakini moyoni mwake haikuwamo huzuni yenye kina, yenye kuuvunja-vunja moyo wake, na kumwonyesha kwamba ni yeye aliyekuwa amemsaliti Mwana wa Mungu asiye na mawaa, na kumkana yule Mtakatifu wa Israeli.

Farao, alipoteswa kwa hukumu za Mungu, alikiri dhambi yake ili apate kuepuka adhabu zaidi; lakini mapigo yalipokoma, alizidi kufanya kiburi dhidi ya Mbingu. Watu hao wote waliomboleza kutokana na matokeo ya dhambi, lakini hawakuhuzunika kwa ajili ya dhambi ile yenyewe.

Lakini moyo unapoutii mvuto wa Roho wa Mungu, ndipo dhamiri yake itakapoamshwa, na mwenye dhambi atatambua kiasi fulani jinsi Sheria ya Mungu ilivyo kuu na takatifu, ambayo ni msingi wa utawala wake mbinguni na duniani. Yule “Nuru halisi, amtiaye nuru kila mtu ajaye katika ulimwengu” Yoh. 1:9, huvimulika vyumba vya siri vilivyomo moyoni, na mambo ya giza yaliyofichwa humo hufunuliwa. Kuhakikishiwa dhambi huyagusa mawazo na moyo.

 Mwenye dhambi anaitambua haki ya Yehova, na kujisikia ya kwamba anayo hofu kuu kuonekana, akiwa katika hatia na uchafu wake, mbele za yule Aichunguzaye mioyo. Anauona upendo wa Mungu, uzuri wa utakatifu, furaha ya kuwa safi; anatamani sana kutakaswa, na kurejeshwa katika ushirika na Mbingu.


03/08/2015

KUTUBU

Sehemu ya 2

Hatutaikataa dhambi mpaka hapo tutakapoona ubaya wake ulivyo hasa; yaani ,hapatakuwa na
badiliko la kweli katika maisha yetu mpaka hapo tutakapogeuka katika mioyo yetu na kwenda mbali nayo,Kuna watu wengi wanaoshindwa kuelewa jinsi kutubu kwenyewe kulivyo hasa. Wengi sana huhuzunika kwamba wametenda dhambi, na hata wanafanya matengenezo ya
nje, kwa sababu wanaogopa kwamba matendo yao mabaya waliyotenda yataleta mateso
juu yao wenyewe.

Lakini huku si kutubu kwa maana ile ya Biblia. Wao huomboleza kwa ajili ya mateso wanayopata kuliko kwa ajili ya ile dhambi waliyotenda. Hayo yalikuwa ndiyo majuto ya Esau alipoona ya kwamba alikuwa ameupoteza urithi wake milele. Balaamu, alipotiwa hofu nyingi sana kwa ajili ya kumwona malaika aliyesimama mbele yake na upanga mkononi mwake, alikiri kosa lake asije akapoteza maisha yake; lakini hakutubu kwa kweli, nia yake haikugeuka, yaani, hakuchukizwa na yale maovu,Yuda Iskariote, baada ya kumsaliti Bwana wake, alisema, “Nalikosa nilipoisaliti damu isiyo na hatia.” Mathayo 27:3.


Ungamo lile lililazimishwa kutoka katika moyo wake wenye hatia kutokana na hisia ya lawama ya kuogofya sana iliyokuwa ndani yake na kutazamia hukumu iliyokuwa mbele yake. Matokeo ambayo yangempata yalimjaza hofu kuu, lakini moyoni mwake haikuwamo huzuni yenye kina, yenye kuuvunja-vunja moyo wake, na kumwonyesha kwamba ni yeye aliyekuwa amemsaliti Mwana wa Mungu asiye na mawaa, na kumkana yule Mtakatifu wa Israeli.

Farao, alipoteswa kwa hukumu za Mungu, alikiri dhambi yake ili apate kuepuka adhabu zaidi; lakini mapigo yalipokoma, alizidi kufanya kiburi dhidi ya Mbingu. Watu hao wote waliomboleza kutokana na matokeo ya dhambi, lakini hawakuhuzunika kwa ajili ya dhambi ile yenyewe.

31/07/2015

Did you know the God’s Purpose for the Youth?????

  A Call to the Youth _ PART 7

You should be prepared to follow the example of these noble youth. Never be ashamed of your colors; put them on, unfurl them to the gaze of men and angels. Do not be controlled by false modesty, by false prudence which suggests to you a course of action contrary to this advice. By your choice words and a consistent course of action, by your propriety, your earnest piety, make a telling confession of your faith, determined that Christ shall occupy the throne in the soul temple; and lay your talents without reserve at His feet to be employed in His service.



Complete Consecration

For your present and eternal good it is best to commit yourself wholly to the right, that the world may know where you are standing. Many are not wholly committed to the cause of God, and their
position of wavering is a source of weakness in itself, and a stone of stumbling to others.

23/07/2015

Did you know the God’s Purpose for the Youth?????


 A Call to the Youth _ PART 6




In the history of Joseph, Daniel, and his fellows, we see how the golden chain of truth may bind the youth to the throne of God. They could not be tempted to turn aside from their course of integrity.
They valued the favor of God above the favor and praise of princes, and God loved them and spread His shield over them.

Because of their faithful integrity, because of their determination to honor God  above every human power, the Lord signally honored them before men. They were honored by the Lord God of hosts, whose power is over all the works of His hand in heaven above and the earth beneath.

These youth were not ashamed to display their true colors. Even in the court of the king, in their words, their habits, their practices, they confessed their faith in the Lord God of heaven. They refused
to bow to any earthly mandate that detracted from the honor of God. They had strength from heaven to confess their allegiance to God.

20/07/2015

KUTUBU


Sehemu ya 1

Je, mwanadamu anawezaje kuwa mwenye haki mbele za Mungu? Mwenye dhambi anawezaje kufanywa kuwa mwenye haki? Ni kwa njia pekee ya Kristo sisi tunaweza kupatanishwa na Mungu na kuwekwa katika hali ya utakatifu; lakini, je, twawezaje kufika kwake Kristo? Wengi wangali wakijiuliza swali lile lile kama walivyojiuliza watu wengi siku ile ya Pentekoste walipochomwa mioyo yao kwa ajili ya dhambi zao, na kulia, “Tutendeje?”


Neno la kwanza la jibu la Petro lilikuwa ni hili “Tubuni.” Mahali pengine pia alisema hivi, “Tubuni basi, mrejee, ili dhambi zenu zifutwe.” Matendo 2:38; 3:19. Kutubu kunajumuisha huzuni kwa ajili ya dhambi, na kugeuka kwenda mbali nayo. Hatutaikataa dhambi mpaka hapo tutakapoona ubaya wake ulivyo hasa; yaani, hapatakuwa na badiliko la kweli katika maisha yetu mpaka hapo tutakapogeuka katika mioyo yetu na kwenda mbali nayo.