Lebo

12/12/2015

KUUNGAMA DHAMBI__4

Dhambi inapozifisha hisia za kiroho, mwenye dhambi hatambui kasoro alizo nazo katika tabia yake, wala hatambui ukubwa wa dhambi aliyoitenda; na kama hajisalimishi chini ya uwezo umhakikishiao dhambi wa Roho Mtakatifu, anabaki katika hali ya kuwa nusu kipofu kwa dhambi yake. Maungamo yake si ya kweli wala hayatolewi kwa dhati.

Kwa kila kosa analoungama anaongeza kutoa udhuru kwa ajili ya njia yake mbaya huku akijipongeza, akisema kwamba laiti mambo yasingalikuwa vile, asingekuwa amefanya kosa hili au lile, ambalo kwalo anakaripiwa.

Adamu na Hawa walipokwisha kula matunda yaliyokatazwa, walijaa haya na hofu kuu. Kwanza kabisa, walifikiri namna ya kujitetea kwa ajili ya kosa lao, ili waepukane na hukumu ya kifo waliyoiogopa sana. Bwana alipowauliza habari ya kosa lao, Adamu alijibu, huku kwa sehemu fulani akiliweka kosa lile juu ya Mungu na kwa sehemu juu ya mwenzi wake: “Mwanamke uliyenipa awe pamoja nami ndiye aliyenipa matunda ya mti huo, nikala.” Yule mwanamke akamtupia lawama nyoka, akasema, “Nyoka alinidanganya, nikala.” Mwanzo 3:12,13. Kwa nini ulimwumba nyoka? Kwanini ulimruhusu aje katika Edeni? Haya ndiyo maswali yaliyojificha katika udhuru aliotoa kwa ajili ya dhambi yake, kwa njia hiyo akimshitaki Mungu kuwa anawajibika kwa anguko lao.

Roho ya kujihesabia haki mtu mwenyewe mwanzo wake ilitoka kwa yule baba wa uongo, nayo imedhihirishwa na wana na binti wote wa Adamu. Maungamo ya jinsi hii hayavuviwi na Roho wa Mungu, wala hayatakubaliwa na Mungu. Ungamo la kweli litamfanya mtu abebe dhambi yake mwenyewe, na kuiungama bila ya kuwa na udanganyifu au unafiki. Kama yule mtoza ushuru maskini, pasipo kuinua sana macho yake kuelekea mbinguni, atalia, akisema, “Mungu uniwie radhi mimi mwenye dhambi;” na wale wanaokiri dhambi zao watahesabiwa haki; kwa maana Yesu atawaombea akidai damu yake iliyomwagika kwa ajili ya mwenye dhambi atubuye.

07/12/2015

KUUNGAMA DHAMBI__3

Zamani wakati wa Samweli, Waisraeli walimwasi Mungu. Walikuwa wakiteseka kama matokeo ya dhambi zao; maana walikuwa wamepoteza imani yao kwa Mungu, walikuwa wamepoteza utambuzi wao kuhusu nguvu na hekima yake katika kulitawala taifa lile, walipoteza imani yao kuhusu uwezo wake wa kuwalinda na kuithibitisha kazi yake.

Wakampa kisogo Mfalme Mkuu wa Malimwengu, na kutamani kutawaliwa kama mataifa yale yaliyowazunguka. Kabla hawajaipata amani, walitoa ungamo hili halisi: “Tumeongeza dhambi zetu kwa uovu huu, wa kujitakia mfalme.” 1 Sam. 12:19. Kosa lile lile hasa ambalo walitiwa hatiani lilipaswa kuungamwa. Kutokuwa na shukrani kwao kuliitesa mioyo yao, na kuwatenga mbali na Mungu.

Ungamo halitakubaliwa na Mungu bila ya kuwapo toba ya kweli na badiliko la maisha. Lazima badiliko dhahiri lionekane katika maisha ya mtu; kila kitu kimchukizacho Mungu ni lazima kiondolewe na kutupwa mbali. Hayo yatakuwa ndiyo matokeo ya huzuni ya kweli kwa ajili ya dhambi. Kazi ile tupaswayo kufanya kwa upande wetu imewekwa wazi mbele yetu: “Jiosheni, jitakaseni; ondoeni uovu wa matendo yenu usiwe mbele za macho yangu; acheni kutenda mabaya; jifunzeni kutenda mema;takeni hukumu na haki; wasaidieni walioonewa; mpatieni yatima haki yake; mteteeni mjane.”

 Isa. 1:16,17. “Kama mtu mwovu akirudisha rehani, na kumrudishia mtu mali yake aliyomnyang’anya, akizifuata sheria za uzima, asitende uovu wo wote; hakika ataishi, hatakufa.” Eze. 33:15. Paulo, akiongea juu ya kazi ya toba, asema hivi: “Maana angalieni, kuhuzunishwa kuko huko kwa jinsi ya Mungu kulitenda bidii kama nini ndani yenu; naam, na kujitetea, naam, na kukasirika, naam, na hofu, naam, na shauku, naam, na kujitahidi, naam, na kisasi! Kwa kila njia mmejionyesha wenyewe kuwa safi katika jambo hilo.” 2 Kor. 7:11.

05/12/2015

KUUNGAMA DHAMBI__2

Wale ambao hawajajinyenyekeza mioyo yao mbele za Mungu na kuziungama dhambi zao, bado hawajalitimiza sharti la kwanza la kukubaliwa na Mungu. Kama hatujasikia toba lisilo na majuto (2 Kor. 7:10), wala hatujaziungama dhambi zetu kwa moyo wa unyenyekevu na uliovunjika, na kuyachukia maovu yetu, tutakuwa kweli hatujawahi kamwe kutafuta msamaha wa dhambi zetu; na kama hatujautafuta, basi hatujawahi kamwe kuipata amani ya Mungu. Sababu ya pekee kwa nini hatupati msamaha wa dhambi zetu zilizopita ni kwamba hatuko tayari kuinyenyekeza mioyo yetu
na kutimiza masharti ya neno la kweli.

Maagizo dhahiri yametolewa kuhusu suala hili. Ungamo la dhambi, liwe hadharani au faraghani, ni lazima litoke moyoni hasa, na litolewe kwa hiari. Mwenye dhambi asilazimishwe kutoa ungamo hilo. Wala halipaswi kutolewa kwa mzaha-mzaha tu au bila kujali, au kwa kuwalazimisha wale ambao hawana hisia yo yote juu ya hali mbaya mno ya kuchukiza ya dhambi.Ungamo lile litokalo moyoni hasa humfikia Mungu mwenye huruma isiyo na kikomo. Mtunga Zaburi asema,Bwana yu karibu nao waliovunjika moyo, na waliopondeka roho huwaokoa.” Zaburi 34:18.

Ungamo la kweli daima ni la aina yake, nalo linakiri dhambi halisi zilizofanywa. Pengine ni dhambi ambazo imetupasa sisi kuzikiri kwa siri mbele za Mungu tu; pengine ni tendo baya ambalo linapaswa kuungamwa kwa mtu mmoja tu, yaani, yule aliyeathirika kutokana na tendo lile; au pengine ni kosa lililotendwa mbele ya watu lililowaumiza mioyo yao, ambalo linapaswa kuungamwa mbele yao. Lakini maungamo yote ni lazima yawe dhahiri na yakiri kosa lile lile hasa ulilolitenda.

26/08/2015

KUUNGAMA DHAMBI__1

AFICHAYE dhambi zake hatafanikiwa; bali yeye aziungamaye na kuziacha atapata rehema.” Mithali 28:13.

Masharti yanayompasa mtu kufanya ili apate rehema ya Mungu si magumu, ni ya
haki na ya maana. Bwana hataki tufanye jambo fulani zito ili tupate kusamehewa dhambi
zetu. Hatuna haja ya kufanya hija ndefu na za kuchosha kwenda mahali patakatifu, wala
kujipiga-piga kuonyesha toba yetu, ili Mungu wa mbinguni apendezwe nasi, ama kufanya
malipo kwa ajili ya makosa yetu; lakini yeye aziungamaye dhambi zake na kuziacha,
ndiye atakayesamehewa.

Mtume Yakobo asema, “Ungameni dhambi zenu (kigiriki, makosa yenu) ninyi kwa ninyi, na kuombeana, mpate kuponywa.” Yak. 5:16. Ungama dhambi zako kwa Mungu ambaye ndiye peke yake awezaye kuzisamehe, na makosa yako uliyowatendea wengine uyaungame mbele yao. Endapo umemfanyia rafiki au jirani yako kosa lililomchukiza, unapaswa kuliungama kosa lako kwake, naye ni wajibu wake kukusamehe kabisa.


Kisha yakupasa kuomba msamaha kwa Mungu, kwa sababu huyo mwenzako ni kiumbe cha Mungu, na kumfanyia mwanadamu makosa ni kumfanyia makosa Muumba na Mwokozi wake. Jambo hilo linawekwa mbele ya Mpatanishi pekee wa kweli, Kuhani wetu Mkuu, ambaye “alijaribiwa sawasawa na sisi katika mambo yote, bila kufanya dhambi,” na ambaye aweza “kuchukuana nasi katika mambo yetu ya udhaifu,” na awezaye kutusafisha uchafu wote wa dhambi. Ebr. 4:15.

17/08/2015

Waliopewa Kitabu - 3

Aya hizi ni NUKUU  kutoka DivineIslam’s Qur’an Viewer software v2.913

 

 Nukuu ili ishia hapa )

Watu hao wanasadiki kwamba ni jukumu lao kujitoa kabisa kwa Mwenyezi Mungu pasipo kuzuia kitu, kuwa na utii kwake usio na swali. Watu hao wana maadili ya kiwango cha juu, ambayo yamejengwa juu ya Maandiko ya Biblia.

 

ENDELEA HAPA 

Wanamheshimu Mwenyezi Mungu kuwa ndiye Mkuu kuliko wote, tena hawana mshirika ye yote (kama vile Maryamu au wale wengine waitwao watakatifu wanaoabudiwa) ambaye wanamfungamanisha na huyo Mungu kama Wakristo wengi sana wafanyavyo. Katika Injili maneno haya hunenwa: Yakobo 2:19 “Wewe waamini ya kuwa Mungu ni mmoja; watenda vema  na katika Marko (Isa al-Masih) Kristo Mwenyewe alisema… “Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja”. Watu hao hawazisujudu sanamu katika ibada yao kama wafanyavyo Wakristo wengi sana.

Wanasadiki kwamba kuabudu sanamu au mifano iwayo yote kumekatazwa kabisa na Mwenyezi Mungu, kama ilivyoandikwa katika Taurati, Kutoka 20:4-5 “Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala
mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia. Usivisujudie wala kuvitumikia”. Watu hao wanajua kwamba kuabudu hiyo mifano na sanamu kumekatazwa kabisa katika Maandiko ya Biblia.


Yaendelea [Kurani Tukufu] kusema kwamba watu hao katika ibada yao kwa Mwenyezi Mungu ‘wanasujudu’, yaani, wanapiga magoti mbele zake Mwenyezi Mungu kama Daudi alivyoandika katika Zaburi (Taurati), Zaburi 95:6 “Njoni, tuabudu, tusujudu, tupige magoti mbele za
BWANA aliyetuumba.” Katika Sura 3:114 inatuambia sisi kwamba ‘wanakataza maovu’. ‘Hao’ miongoni mwa “wao Waliopewa Kitabu” wanakataza kula vyakula najisi (haramu) kama ‘Nyama ya
nguruwe’. (Taurati) Mambo ya Walawi 11:7 “Na nguruwe, … yeye ni najisi kwenu.” Wanakataza matumizi ya vileo, tumbako, na vitu vingine vinavyodhuru (haramu) afya ya mwili ambavyo vinauangamiza. Wanaziheshimu Amri Kumi za Mwenyezi Mungu kama zilivyoandikwa
katika (Taurati) Kutoka 20. Watu hao wanasadiki kwamba tunaishi katika “Siku za Mwisho” za historia ya dunia hii…

10/08/2015

Did you know the God’s Purpose for the Youth?????

A Call to the Youth _ PART 10

Make it the law of your life from which no temptation or side interest shall cause you to turn,Through Jesus Christ show that you are worthy of the sacred trust with which the Lord has honored you in bestowing upon you life and grace. You are to refuse to be in subjection to the power of evil. As soldiers of Christ we must deliberately and intelligently accept His terms of salvation under every circumstance, cherish right principles, and act upon them. Divine wisdom is to be a lamp to
your feet. Be true to yourselves, be true to your God.

Everything that can be shaken will be shaken; but rooted and grounded in the truth, you will abide with those things that cannot be shaken. The law of God is steadfast, unalterable; for it is the expression of the character of Jehovah. Make up your mind that you will not by word or influence cast the least dishonor upon its authority.

KUTUBU - 5

TUMEWEZA  KUONA Sala ya Daudi baada ya kuanguka kwake dhambini inatudhihirishia vizuri jinsi huzuni ya kweli kwa ajili ya dhambi ilivyo hasa. Kutubu kwake kulikuwa kwa kweli na kwenye kina. Kutubu kwa namna hii hakuwezekani kwetu sisi kwa uwezo wetu wenyewe; kunawezekana katika Kristo tu, aliyepaa juu na kuwapa wanadamu vipawa.

Hapo ndipo wengi wanapopotea, na hivyo hushindwa kupokea msaada anaotaka kuwapa Kristo. Wao wanadhani kwamba hawawezi kuja kwa Kristo isipokuwa kwanza wawe wamekwisha kutubia
dhambi zao, na ya kwamba kutubu kunawaandaa kupokea msamaha kwa ajili ya dhambi zao. Ni kweli kwamba kutubu kunakuja kabla ya msamaha wa dhambi; maana ni moyo ule tu uliovunjika na kupondeka, unaoona kwamba unamhitaji Mwokozi. Lakini je! ni lazima mwenye dhambi angoje mpaka amekwisha tubu kabla ya kwenda kwa Yesu? Je! toba iwe kizuizi kati ya mwenye dhambi na Mwokozi?


Katika Biblia, yaani, Neno la Mungu, hatusomi kwamba mwenye dhambi hana budi kutubu kabla ya kukubali mwito wa Kristo asemaye, “Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.” Mt. 11:28. Ni uwezo unaotoka kwa Kristo unaowawezesha watu kutubu kweli kweli. Petro aliwaeleza Waisraeli mambo haya kwa dhahiri aliposema, “Mtu huyo Mungu amemtukuza kwa mkono wake wa kuume, awe Mkuu na Mwokozi, awape Waisraeli toba na msamaha wa dhambi.” Mdo. 5:31.

Kadiri tusivyoweza kusamehewa dhambi bila Kristo, ndivyo tusivyoweza kutubu pasipo Roho wa Kristo kuziamsha dhamiri zetu. Kristo ndiye asili ya kila fikara njema. Yeye tu ndiye awezaye kupanda mbegu ya kuchukia dhambi katika moyo. Kila tamaa moyoni mwetu ya kutaka kuijua kweli na kuwa na maisha safi, kila kusadikishwa moyoni mwetu kunakotuonyesha kuwa sisi ni wenye dhambi, ni ushahidi uonyeshao kwamba Roho Mtakatifu anafanya kazi mioyoni mwetu.

Waliopewa Kitabu - 2

Aya hizi ni NUKUU  kutoka DivineIslam’s Qur’an Viewer software v2.913


Kurani Tukufu yasema hivi kuhusu kundi hilo la pekee, kwamba hao “ndio miongoni mwa hao watendao mema kweli kweli”. Iwapo hao ni miongoni mwa hao watendao mema kweli kweli, basi yale wayasadikiyo hayana budi kuwa ndiyo kweli yenyewe. Kama Mwenyezi Mungu anawaita kuwa wamo miongoni mwa hao watendao mema kweli kweli, basi, sisi hatuthubutu kabisa kuwakosoa.
Lakini je! si afadhali sisi pia tungeweza kujifunza kitu kwao?


Twaona ya kwamba watu hao wa pekee wanakishikilia kile ‘Kitabu’ (Maandiko ya Biblia) ambacho
Nabii Muhammad kwa makusudi mazima alituelekeza sisi kwenye [Kitabu] hicho katika Kurani Tukufu (Al Maidah) Sura 5:46 … “Na tukawafundisha (Mitume hiyo) Isa bin Maryamu
kuyahakikisha yaliyokuwa kabla yake katika Taurati, na tukampa Injili iliyomo ndani yake uongozi na nuru na isadikishayo yaliyokuwa kabla yake katika Taurati, na uongozi na mauidha kwa wamchao (Mwenyezi Mungu).”

Watu hao wanasadiki kwamba ni jukumu lao kujitoa kabisa kwa Mwenyezi Mungu pasipo kuzuia kitu, kuwa na utii kwake usio na swali. Watu hao wana maadili ya kiwango cha juu, ambayo yamejengwa juu ya Maandiko ya Biblia.



09/08/2015

Did you know the God’s Purpose for the Youth?????

A Call to the Youth _ PART 9


Every student should understand that the principles which he adopts become a living, molding
influence upon character. He who accepts Christ as his personal Saviour, will love Jesus, and
all for whom Christ has died; for Christ will be in him a well of water springing up unto everlasting life. He will surrender himself without reservation to the rule of Christ.



Assert Your Liberty
Make it the law of your life from which no temptation or side interest shall cause you to turn, to honor God, because He “so loved the world, that He gave his only-begotten Son, that whosoever
Standards of Success believeth in Him should not perish, but have everlasting life.” As a redeemed, free moral agent, ransomed by an infinite price, God calls upon you to assert your liberty, and employ your God-given powers as a free subject of the kingdom of heaven. Be no longer under the thralldom of sin, but as a loyal subject to the King of kings, prove your loyalty to God.

08/08/2015

KUTUBU - 4


Sala ya Daudi baada ya kuanguka kwake dhambini inatudhihirishia vizuri jinsi huzuni ya kweli kwa ajili ya dhambi ilivyo hasa. Kutubu kwake kulikuwa kwa kweli na kwenye kina. Hapakuwa na
jitihada yo yote ya kupunguza ukubwa wa makosa yake; hakuwa na tamaa yo yote ya kuikwepa hukumu iliyotishiwa juu yake ambayo iliivuvia sala yake. Daudi aliuona ukubwa upitao kiasi wa kosa lake; aliona unajisi wa moyo wake; aliichukia sana dhambi yake. Hakuomba ili apate msamaha tu, aliomba pia ili awe na moyo safi. Alitamani sana kuwa na furaha iletwayo na utakatifu - yaani,
kurejeshwa katika hali ya amani na ushirika na Mungu. Hii ilikuwa ndiyo lugha ya roho
yake:


Heri aliyesamehewa dhambi, Na kusitiriwa makosa yake.  Heri Bwana asiyemhesabia upotovu, Ambaye rohoni mwake hamna hila.” Zaburi 32:1-2. “Ee Mungu, unirehemu, Sawasawa na fadhili zako. Kiasi cha wingi wa rehema zako, Uyafute makosa yangu. Unioshe kabisa na uovu wangu, Unitakase dhambi zangu. Maana nimejua mimi makosa yangu. Na dhambi yangu i mbele yangu daima Unioshe nami nitakuwa mweupe kuliko theluji.

 Ee Mungu, uniumbie moyo safi, Uifanye upya roho iliyotulia ndani yangu. Usinitenge na uso wako, Wala Roho wako Mtakatifu usiniondolee. Unirudishie furaha ya wokovu wako; Unitegemeze kwa roho ya wepesi, Ee Mungu, Mungu wa wokovu wangu, Utuponye na damu za watu Na ulimi wangu utaiimba haki yako.” Zaburi 51:1-14. Kutubu kwa namna hii hakuwezekani kwetu sisi kwa uwezo wetu wenyewe; kunawezekana katika Kristo tu, aliyepaa juu na kuwapa wanadamu vipawa.

Waliopewa Kitabu - 1

Aya hizi ni NUKUU  kutoka DivineIslam’s Qur’an Viewer software v2.913


Assalamu’ alaikum! Kurani Tukufu huelekeza kidole chake kwenye kundi lile liitwalo “Waliopewa Kitabu”. Msomaji anaombwa asome Sura 3:113-115. Aali Imran. 003:113 “Wao (Waliopewa Kitabu) si wote sawa. Katika (hao) Waliopewa Kitabu wamo watu waliotengenea  wanasoma Aya za Mwenyezi Mungu nyakati za usiku, na pia wanasujudu (yaani wamesilimu).” 003:114 “Wanamwamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho, na wanaamrisha mema na wanakataza maovu na wanayaendea mbio mambo mema.

Na hao ndio miongoni mwa hao watendao mema (kweli kweli).” 003:115 “Na heri yo yote watakayoifanya hawatakanushiwa (thawabu zake). Na Mwenyezi Mungu anawajua wanaomcha (wakajiepusha na makatazo yake na wakafanya maamrisho yake).” 


 Watu hao wanajulikana kama ‘Wakristo’. Hao wanaitwa ‘Waliopewa Kitabu’ (Maandiko ya Biblia). Lakini miongoni mwao limo kundi la pekee. Kurani Tukufu yasema kwamba ipo tofauti kati ya hao ‘Wakristo’ na ya kwamba ‘si wote sawa.’

Je, kundi hilo la pekee ni akina nani ambao Nabii Muhammad (jina lake na liheshimiwe) alivuta mawazo ya watu kuelekea kwao kwa namna ya ajabu kama hiyo, ya kuwa wao ni ‘miongoni mwa hao watendao mema kweli kweli’! Hebu zingatia tabia zinazolitambulisha kundi hili la pekee kutoka katika Sura 3:113-115
 

1. si (Wakristo) wote sawa
 

2. katika (hao) waliopewa Kitabu wamo watu waliotengenea
 

3. wanasoma Aya za Mwenyezi Mungu
 

4. wanasujudu
 

5. wanamwamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho
 

6. wanaamrisha mema [wanafundisha kwa mamlaka yaliyo ya haki]
 

7. wanakataza maovu
 

8. wanayaendea mbio mambo mema [wanajitahidi kufanya yale yenye sifa njema]
 

9. hao ndio miongoni mwa hao watendao mema kweli
kweli
 

10. na heri yo yote watakayoifanya hawatakanushiwa. [Mwenyezi Mungu anawajua]

07/08/2015

Did you know the God’s Purpose for the Youth?????

  A Call to the Youth _ PART 8
With principles unsettled, unconsecrated as they are, the waves of temptation sweep them away from what they know to be right, and they do not make holy endeavor to overcome every wrong, and through the imputed righteousness of Christ, perfect a righteous character.



The world has a right to know just what may be expected from every intelligent human being. He who is a living embodiment of firm, decided, righteous principles, will be a living power upon his
associates; and he will influence others by his Christianity. Many do not discern and appreciate how great is the influence of each one for good or evil.

KUTUBU

Sehemu ya 3

 

Ungamo lile lililazimishwa kutoka katika moyo wake wenye hatia kutokana na hisia ya lawama ya kuogofya sana iliyokuwa ndani yake na kutazamia hukumu iliyokuwa mbele yake. Matokeo ambayo yangempata yalimjaza hofu kuu, lakini moyoni mwake haikuwamo huzuni yenye kina, yenye kuuvunja-vunja moyo wake, na kumwonyesha kwamba ni yeye aliyekuwa amemsaliti Mwana wa Mungu asiye na mawaa, na kumkana yule Mtakatifu wa Israeli.

Farao, alipoteswa kwa hukumu za Mungu, alikiri dhambi yake ili apate kuepuka adhabu zaidi; lakini mapigo yalipokoma, alizidi kufanya kiburi dhidi ya Mbingu. Watu hao wote waliomboleza kutokana na matokeo ya dhambi, lakini hawakuhuzunika kwa ajili ya dhambi ile yenyewe.

Lakini moyo unapoutii mvuto wa Roho wa Mungu, ndipo dhamiri yake itakapoamshwa, na mwenye dhambi atatambua kiasi fulani jinsi Sheria ya Mungu ilivyo kuu na takatifu, ambayo ni msingi wa utawala wake mbinguni na duniani. Yule “Nuru halisi, amtiaye nuru kila mtu ajaye katika ulimwengu” Yoh. 1:9, huvimulika vyumba vya siri vilivyomo moyoni, na mambo ya giza yaliyofichwa humo hufunuliwa. Kuhakikishiwa dhambi huyagusa mawazo na moyo.

 Mwenye dhambi anaitambua haki ya Yehova, na kujisikia ya kwamba anayo hofu kuu kuonekana, akiwa katika hatia na uchafu wake, mbele za yule Aichunguzaye mioyo. Anauona upendo wa Mungu, uzuri wa utakatifu, furaha ya kuwa safi; anatamani sana kutakaswa, na kurejeshwa katika ushirika na Mbingu.


03/08/2015

KUTUBU

Sehemu ya 2

Hatutaikataa dhambi mpaka hapo tutakapoona ubaya wake ulivyo hasa; yaani ,hapatakuwa na
badiliko la kweli katika maisha yetu mpaka hapo tutakapogeuka katika mioyo yetu na kwenda mbali nayo,Kuna watu wengi wanaoshindwa kuelewa jinsi kutubu kwenyewe kulivyo hasa. Wengi sana huhuzunika kwamba wametenda dhambi, na hata wanafanya matengenezo ya
nje, kwa sababu wanaogopa kwamba matendo yao mabaya waliyotenda yataleta mateso
juu yao wenyewe.

Lakini huku si kutubu kwa maana ile ya Biblia. Wao huomboleza kwa ajili ya mateso wanayopata kuliko kwa ajili ya ile dhambi waliyotenda. Hayo yalikuwa ndiyo majuto ya Esau alipoona ya kwamba alikuwa ameupoteza urithi wake milele. Balaamu, alipotiwa hofu nyingi sana kwa ajili ya kumwona malaika aliyesimama mbele yake na upanga mkononi mwake, alikiri kosa lake asije akapoteza maisha yake; lakini hakutubu kwa kweli, nia yake haikugeuka, yaani, hakuchukizwa na yale maovu,Yuda Iskariote, baada ya kumsaliti Bwana wake, alisema, “Nalikosa nilipoisaliti damu isiyo na hatia.” Mathayo 27:3.


Ungamo lile lililazimishwa kutoka katika moyo wake wenye hatia kutokana na hisia ya lawama ya kuogofya sana iliyokuwa ndani yake na kutazamia hukumu iliyokuwa mbele yake. Matokeo ambayo yangempata yalimjaza hofu kuu, lakini moyoni mwake haikuwamo huzuni yenye kina, yenye kuuvunja-vunja moyo wake, na kumwonyesha kwamba ni yeye aliyekuwa amemsaliti Mwana wa Mungu asiye na mawaa, na kumkana yule Mtakatifu wa Israeli.

Farao, alipoteswa kwa hukumu za Mungu, alikiri dhambi yake ili apate kuepuka adhabu zaidi; lakini mapigo yalipokoma, alizidi kufanya kiburi dhidi ya Mbingu. Watu hao wote waliomboleza kutokana na matokeo ya dhambi, lakini hawakuhuzunika kwa ajili ya dhambi ile yenyewe.

31/07/2015

Did you know the God’s Purpose for the Youth?????

  A Call to the Youth _ PART 7

You should be prepared to follow the example of these noble youth. Never be ashamed of your colors; put them on, unfurl them to the gaze of men and angels. Do not be controlled by false modesty, by false prudence which suggests to you a course of action contrary to this advice. By your choice words and a consistent course of action, by your propriety, your earnest piety, make a telling confession of your faith, determined that Christ shall occupy the throne in the soul temple; and lay your talents without reserve at His feet to be employed in His service.



Complete Consecration

For your present and eternal good it is best to commit yourself wholly to the right, that the world may know where you are standing. Many are not wholly committed to the cause of God, and their
position of wavering is a source of weakness in itself, and a stone of stumbling to others.

23/07/2015

Did you know the God’s Purpose for the Youth?????


 A Call to the Youth _ PART 6




In the history of Joseph, Daniel, and his fellows, we see how the golden chain of truth may bind the youth to the throne of God. They could not be tempted to turn aside from their course of integrity.
They valued the favor of God above the favor and praise of princes, and God loved them and spread His shield over them.

Because of their faithful integrity, because of their determination to honor God  above every human power, the Lord signally honored them before men. They were honored by the Lord God of hosts, whose power is over all the works of His hand in heaven above and the earth beneath.

These youth were not ashamed to display their true colors. Even in the court of the king, in their words, their habits, their practices, they confessed their faith in the Lord God of heaven. They refused
to bow to any earthly mandate that detracted from the honor of God. They had strength from heaven to confess their allegiance to God.

20/07/2015

KUTUBU


Sehemu ya 1

Je, mwanadamu anawezaje kuwa mwenye haki mbele za Mungu? Mwenye dhambi anawezaje kufanywa kuwa mwenye haki? Ni kwa njia pekee ya Kristo sisi tunaweza kupatanishwa na Mungu na kuwekwa katika hali ya utakatifu; lakini, je, twawezaje kufika kwake Kristo? Wengi wangali wakijiuliza swali lile lile kama walivyojiuliza watu wengi siku ile ya Pentekoste walipochomwa mioyo yao kwa ajili ya dhambi zao, na kulia, “Tutendeje?”


Neno la kwanza la jibu la Petro lilikuwa ni hili “Tubuni.” Mahali pengine pia alisema hivi, “Tubuni basi, mrejee, ili dhambi zenu zifutwe.” Matendo 2:38; 3:19. Kutubu kunajumuisha huzuni kwa ajili ya dhambi, na kugeuka kwenda mbali nayo. Hatutaikataa dhambi mpaka hapo tutakapoona ubaya wake ulivyo hasa; yaani, hapatakuwa na badiliko la kweli katika maisha yetu mpaka hapo tutakapogeuka katika mioyo yetu na kwenda mbali nayo.

Did you know the God’s Purpose for the Youth?????


A Call to the Youth _ PART  5



“The fear of the Lord is the beginning of wisdom.” Many of our youth do not feel the necessity of bringing their powers into vigorous exercise to do their best at all times and under all circumstances.
They do not have the fear of God before their eyes, and their thoughts are not pure and elevated.
All heaven is cognizant of every thought and every action. Your actions may be unseen by your associates, but they are all open to the inspection of angels. The angels are commissioned to minister
unto those who are striving to overcome every wrong habit, and stand clear from the devices of Satan.

The power of little acts of evil, of small inconsistencies to mold character, are not estimated as they should be. The grandest and most elevated principles are revealed to us in the Word of God. They
are given to us to strengthen every effort for good, to control and balance the mind, to lead us to aspire to reach a high standard.

18/07/2015

Did you know the God’s Purpose for the Youth?????


A Call to the Youth PART 4


The youth have been bought with an infinite price, even the blood of the Son of God. Consider the sacrifice of the Father in permitting His Son to make this sacrifice. Consider what Christ gave up when Building Character for Eternity He left the courts of heaven and the royal throne, to give His life a daily sacrifice for men he suffered reproach and abuse.

 He bore all the insult and mockery that wicked men could heap upon Him. And when His earthly ministry was accomplished, He suffered the death of the cross. Consider His sufferings on the cross,the nails driven into His hands and feet, the derision and abuse from those He came to save, the hiding of His Father’s face. But it was by all this that Christ made it possible for all who will to have the life that measures with the life of God

When Christ ascended to the Father, He did not leave His followers without help. The Holy Spirit, as His representative, and the heavenly angels, as ministering spirits, are sent forth to aid those
who against great odds are fighting the good fight of faith. Ever remember that Jesus is your helper. No one understands as well as He your peculiarities of character. He is watching over you, and
if you are willing to be guided by Him, He will throw around you influences for good that will enable you to accomplish all His will for you.

16/07/2015

Did you know the God’s Purpose for the Youth?????

  A Call to the Youth PART 3


 Young men should have broad ideas, wise plans, that they may make the most of their opportunities, catch the inspiration and courage that animated the apostles. John says, “I have written unto
you, young men, because ye are strong, and the word of God abideth in you, and ye have overcome the wicked one,An elevated standard is presented before the youth, and God is inviting them to come into real service for Him.

True hearted young men who delight to be learners in the school of Christ, can do a great work for the Master, if they will only give heed to the command of the Captain as it sounds down along the lines to our time, “Quit you like men, be strong,You are to be men who will walk humbly with God, who will stand before Him in your God-given manhood, free from impurity, free from all contamination from the sensuality that is corrupting this age.

must be men who will despise all falsity and wickedness, who will dare to be true and brave, holding aloft the blood-stained banner of Prince Emmanuel. Your talents will increase as you use them for the Master, and they will be esteemed precious by Him who has bought them with an infinite price. Do not sit down and neglect to do anything, simply because you cannot do some great
thing, but do whatever your hands find to do, with thoroughness and energy.... .

Did you know the God’s Purpose for the Youth????? LESSON 2

 A Call to the Youth PART 2


your opportunities, your possibilities. God has given you an opportunity to fill a high destiny.
Your influence may tell for the truth of God; you may be a co-laborer  with God in the great work of human redemption O that young men might appreciate the high destiny to which they are called! Ponder well the paths of your feet.

 Begin your work with high and holy purpose, and be determined that through the power of the grace of God, you will not diverge from the path of rectitude. If you begin to go in a wrong direction, every step will be fraught with peril and disaster, and you will go on straying from the path of truth, safety, and success. You need your intellect strengthened, your moral energies quickened, by divine power.


The cause of God demands the highest powers of the being, and there is urgent need in many fields for young men of literary qualifications. There is need of men who can be trusted to labor in
extensive fields that are now white to the harvest. Young men of ordinary ability, who give themselves wholly to God, who are uncorrupted by vice and impurity, will be successful, and will be enabled to do a great work for God. Let young men heed the admonition, and be sober-minded.

15/07/2015

Did you know the God’s Purpose for the Youth????? LESSON 2

 A Call to the Youth PART 1

                                        


God wants the youth to become men of earnest mind, to be prepared for action in His noble work, and fitted to bear responsibilities. God calls for young men with hearts uncorrupted, strong and brave,
and determined to fight manfully in the struggle before them, that they may glorify God, and bless humanity. If the youth would but make the Bible their study, would but calm their impetuous desires,
and listen to the voice of their Creator and Redeemer, they would not only be at peace with God, but would find themselves ennobled and elevated. It will be for your eternal interest, my young friend,
to give heed to the instructions in the word of God, for they are of inestimable importance to you.

I entreat you to be wise, and consider what will be the result of leading a wild life, uncontrolled by the Spirit of God. “Be not deceived; God is not mocked: for whatsoever a man soweth, that
shall he also reap. For he that soweth to his flesh shall of the flesh reap corruption.” For your soul’s sake, for Christ’s sake, who gave Himself to save you from ruin, pause on the threshold of your
life, and weigh well your responsibilities, your opportunities, your possibilities.

14/07/2015

Jinsi Mungu Anavyompenda Mwanadamu- 2


Ingawa dunia imeanguka katika hali mbaya kwa ajili ya dhambi, lakini yote yaliyomo si huzuni na mashaka. Viumbe vya ulimwengu vimekuwa kama mitume waMungu kutuletea habari za faraja na utulivu. Kila mti wa miiba una maua yake pia; yaani, katika kila shida twaweza kupata baraka za Mungu.

“Mungu ni pendo” imeandikwa juu ya kila chipukizi, juu ya ncha ya kila jani dogo linalochipua. Ndege wazuri wanaoijaza anga na nyimbo zao za furaha, kila aina ya ua lililotiwa rangi nzuri katika ukamilifu wake likitia harufu yake nzuri katika hewa, miti mirefu sana ya msituni pamoja na majani yake mazuri ya kijani kilichokolea yote hutushuhudia upendo na utunzaji wa Mungu, jinsi anavyotaka kuwafurahisha watoto wake.

30/06/2015

Jinsi Mungu Anavyompenda Mwanadamu-1

VIUMBE vyote vya ulimwengu, na jinsi Mungu alivyojidhihirisha, vyote
huonyesha upendo wa Mungu. Baba yetu aliye mbinguni ndiye asili ya uhai, hekima, na
furaha. Vitazame viumbe vyote jinsi vilivyo vizuri na vya ajabu. Fikiri jinsi vifaavyo
kwa mahitaji na furaha, siyo ya wanadamu tu, bali ya viumbe vyote vilivyo hai.

Jua na mvua, huifurahisha na kuiburudisha nchi, pamoja na vilima, bahari na mabonde, vyote
hutuonyesha upendo wa Muumbaji wetu. Mungu ndiye anayevipatia viumbe vyake
vyote mahitaji yao ya kila siku. Katika maneno mazuri ya Mtunga Zaburi twasoma haya,

                               “Macho ya watu wote yakuelekea Wewe;
                                 Nawe huwapa chakula chao kwa wakati wake.
                                 Waufumbua mkono wako,Wakishibisha kilicho hai matakwa yake.
                                   ”Zaburi 145:15,16.


Mungu alimwumba mwanadamu katika hali ya furaha na utakatifu kamili; na
wakati nchi ilipotoka mkononi mwa Muumba, ilikuwa nzuri kabisa; haikuwa na dalili ya
uharibifu wala laana ya Mungu. Taabu na mauti viliingia kwa sababu ya kuivunja sheria
ya Mungu sheria ya upendo. Lakini, hata katikati ya maumivu yatokanayo na dhambi,
upendo wa Mungu umedhihirishwa. Imeandikwa ya kwamba Mungu aliilaani ardhi kwa
ajili ya mwanadamu. Mwanzo 3:17.

Miti yenye miiba na magugu - yaani, shida na majaribu yanayoyafanya maisha yake kuwa ya taabu na wasiwasi - yaliwekwa kwa manufaa yake, ili yawe sehemu mojawapo ya mafundisho yake yanayotakiwa katika mpango wa Mungu, ili apate kumtoa katika hali mbaya ya dhambi na kumrudisha katika hali njema aliyokuwa nayo mara ya kwanza.

17/06/2015

Did you know the God’s Purpose for the Youth?????


In order that the work may go forward in all its branches, God calls for youthful vigor, zeal, and courage. He has chosen the youth to aid in the advancement of His cause. To plan with clear mind and execute with courageous hand demands fresh, uncrippled energies. Young men and women are invited to give God the strength of their youth, that through the exercise of their powers, through keen
thought and vigorous action, they may bring glory to Him and salvation to their fellow-men. (Gospel Workers, 67.)
                                 
                      

01/06/2015

God's Purpose for His Church ( lesson -6 )

Wonderful is the work which the Lord designs to accomplish through His church, that His name may be glorified. A picture of this work is given in Ezekiel's vision of the river of healing: "These waters issue out toward the east country, and go down into the desert, and go into the sea: which being brought forth into the sea, the waters shall be healed. And it shall come to pass, that everything that liveth, which moveth, whithersoever the rivers shall come, shall live: and by the river upon the bank thereof, on this side and on that side, shall grow all trees for meat, whose leaf shall not fade, neither shall the fruit thereof be consumed: it shall bring forth new fruit according to his months, because their waters they issued out of the sanctuary: and the fruit thereof shall be for meat, and the leaf thereof for medicine." Ezekiel 47:8-12.

From the beginning God has wrought through His people to bring blessing to the world. To the ancient Egyptian nation God made Joseph a fountain of life. Through the integrity of Joseph the life of that whole people was preserved. Through Daniel God saved the life of all the wise men of Babylon. And these deliverances are as object lessons; they illustrate the spiritual blessings offered to the world through connection with the God whom Joseph and Daniel worshiped. Everyone in whose heart Christ abides, everyone who will show forth His love to the world, is a worker together with God for the blessing of humanity. As he receives from the Saviour grace to impart to others, from his whole being flows forth the tide of spiritual life.

                          



23/05/2015

Marriage a Foretaste of Heaven.....

The warmth of true friendship and the love that binds the hearts of husband and wife are a
foretaste of heaven. God has ordained that there should be perfect love and perfect harmony between those who enter into the marriage relation. Let bride and bridegroom in the presence of the heavenly universe pledge themselves to love one another as God has ordained they should.
In Heavenly Places, 202.
 

22/05/2015

God's Purpose for His Church ( lesson -5 )

Through centuries of persecution, conflict, and darkness, God has sustained His church. Not one cloud has fallen upon it that He has not prepared for; not one opposing force has risen to counter work His work, that He has not foreseen. All has taken place as He predicted. He has not left His church forsaken, but has traced in prophetic declarations what would occur, and that which His Spirit inspired the prophets to foretell has been brought about. All His purposes will be fulfilled. His law is linked with His throne, and no power of evil can destroy it. Truth is inspired and guarded by God; and it will triumph over all opposition.

During ages of spiritual darkness the church of God has been as a city set on a hill. From age to age, through successive generations, the pure doctrines of heaven have
been unfolding within its borders. Enfeebled and defective as it may appear, the church is the one object upon which God bestows in a special sense His supreme regard. It is the theater of His grace, in which He delights to reveal His power to transform hearts.

"Where unto," asked Christ, "shall we liken the kingdom of God? or with what comparison shall we compare it?" Mark 4:30. He could not employ the kingdoms of the world as a similitude. In society He found nothing with which to compare it. Earthly kingdoms rule by the ascendancy of physical power; but from Christ's kingdom every carnal weapon, every instrument of coercion, is banished. This kingdom is to uplift and ennoble humanity. God's church is the court of holy life, filled with varied gifts and endowed with the Holy Spirit. The members are to find their happiness in the happiness of those whom they help and bless.

READ THIS SHORT STORY..

A husband and a wife stayed together happly and they married for 5 years with no kids. When time goes on a wife started cheating his innocent husband. The man whom she cheated his husband with met at her working place One day a husband recieved a lovely short massage to the phone of her wife while she left it on top of da bed on her way out to the toilet. The husband felt the pain.

Wife came back from  toilet to the  bed and her  husband askd her about the message  recieved in her phone."Who is this if you  may let me knw? "Wife shouted back at her husband: "What did you want in my phone? the husband kept quite he didn`t  want to fight back..

                                              
                                                           



He decided not to have sex with her.  After 3 month the husband told her wife to go for H.I.V check up before they make their 1st born.Wife replied its fine we can go, then they went for a check up when they both tested the results said the wife is positive & the husband is negative.


After wards the husband had no alternative but to divorce her wife and married another woman with whom they had children 


Friends this is a lesson.If your married or dating someone please be  honest, faithful and accept them the way they are  don`t cheat  or  lie bcoz God can punish you in many ways.

God's Call to Service (lesson -6)

A Call to the Individual

A distinct work is assigned to every Christian.Southern Watchman, Aug. 2, 1904.God requires every one to be a worker in His vineyard. You are to take up the work that has been placed in your charge, and to do it faithfully.Bible Echo, June 10, 1901.

Were every one of you a living missionary, the message for this time would speedily be proclaimed in all countries, to every people and nation and tongue.Testimonies, vol. 6, p. 438.Every true disciple is born into the kingdom of God as a missionary. He who drinks of the living water becomes a fountain of life. The receiver becomes a giver. The grace of Christ in the soul is like a spring in the desert, welling up to refresh all, and making those who are ready to perish eager to drink of the water of life.The Desire of Ages, p. 195.

20/05/2015

God's Purpose for His Church ( lesson -4 )

He that hath mercy on them shall lead them, even by the springs of water shall He guide them. And I will make all My mountains a way, and My highways shall be exalted"Sing, O heavens; and be joyful, O earth; and break forth into singing, O mountains: for the Lord hath comforted His people, and will have mercy upon His afflicted. But Zion said, The Lord hath forsaken me, and my Lord hath forgotten me.Can a woman forget her sucking child, that she should not have compassion on the son of her womb? yea, they may forget, yet will I not forget thee. Behold, I have graven thee upon the palms of My hands; thy walls are continually before Me." Isaiah 49:8-16.

The church is God's fortress, His city of refuge, which He holds in a revolted world. Any betrayal of the church is treachery to Him who has bought mankind with the blood of His only-begotten Son. From the beginning, faithful souls have constituted the church on earth. In every age the Lord has had His watchmen, who have borne a faithful testimony to the generation in which they lived. These sentinels gave the message of warning; and when they were called to lay off their armor, others took up the work. God brought these witnesses into covenant relation with Himself, uniting the church on earth with the church in heaven. He has sent forth His angels to minister to His church, and the gates of hell have not been able to prevail against His people.